Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza pikipiki aina ya skymark, inatembea na ipo katika hali nzuri, tairi zake ni mpya kabisa, imesajiliwa kwa namba mpya na kwa jina langu mwenyewe Sababu ya kuiuza, nimechoka kutembelea...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Pata Viwanja vilivyo pimwa na visivyo pimwa, kuanzia square meter 700 adi 5000. na wenye matumizi makubwa ya ardhi ikiwa ni makapuni na watu binafsi tuna Ekari 1 adi 10 sehemu moja. Viwanja viko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanaJF! Nna bajeti ya mil5 - 7 natafuta kiwanja cha kujenga mkoa wa Kilimanjaro, Manispaa ya Moshi mjini, maeneo yafuatayo: - Rau (hata Uru ya mwanzo) - KCMC - Soweto - Shah Tours (hata...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa yeyote anayeweza kusuply kwangu ARTIFICIAL SAUSAGE CASING au UTUMBO ulioandaliwa tafadhali ni P.M. Nahitaji sana..nipo Dar.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi ni kwa wanawake na wanaume wanaopenda ngozi zao, kama unataka kuwa na ngozi mcharo bhas chukua moja kati ya hizi na matokeo yake, utafurah.... Hazichubui kwahyo wanaotaka kuwa weupe...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu na wadau wa kilimo.. Ningependa kuelewa soko la VIAZI vitamu Dar es salaam likoje. Mara nyingi zao hili linalimwa na kuvunwa kwa msimu hasa miezi ya kiangazi, je soko lake nalo ni kwa msimu...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Processor intel 1.60Ghz RAM 2.00 GB Hard disk 80GB Battery life 5 hours( Ina extended battery) Price:200,000 Haina tatizo lolote.. Phone no..+255654145154 tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
787 Views
Kipanda uso nimaradhi ya maumivu ya kichwa dalili Nikuumwa na kichwa upande mmoja kichwa kuuma mbele yaani usoni kuuma meno yote kusikia harufu mbaya puani Sababu zake nyama ya ng'ombe manukato...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wandugu mwenye kuuza moja ya calculator hizo hapo juu tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali wapendwa ni wapi ninawezakupata vitabu vya ACCA kwa hapa Arusha plse (current one)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
In hati miliki. iko karibu sana Ununio Islamic High School mita kama 500 kutoka pwani na mita 500 kutoka barabara ya bagamoyo. Maji, umeme vipo karibu. Maeneo tulivu sana, yanafaa kwa familia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
utaniuzia lumia aina gani iwe katika hali nzur bei 200000
0 Reactions
0 Replies
560 Views
Selling a LIKE NEW Nikon Coolpix S6100 Touchscreen 16 Megapixel Digital Camera with a free extra High Capacity Battery and 8gb SD memory card This is an excellent camera that I've only had a...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
0 Reactions
4 Replies
749 Views
Habari wana JF, Kwakweli na furaha sana kusoma JF tangu nijiunge na inafurahisha sana. Leo naomba muongozo kidogo. Nataka kutengeneza mafuta ya kupaka mwili kama lotion na cream, je ntapata wapi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni tecno c8 ...inauzwa ,,warantee yake hadi 16/02/2017 nicheki..0679769983/0753769983
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Wana JF! Kwakweli nafurahia sana kusoma JF tangu nijiunge na inafurahisha. Leo naomba muongozo kidogo, nataka kutengeneza mafuta ya kupaka mwilini i.e. lotion na cream, je ntapata wapi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nyumba au kiwanja: Kiwe maeneo ya Makonga Juu, Goba kuelekea Bagamoyo mwisho Tegeta. Kiwanja lazima kiwe na ukubwa wa 1000 square meters na hati. Bajeti iliyotengwa kwa manunuzi ya kiwanja Tshs...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MV „REZON" Fishing vessel for sale: Technical Designet and construction: 2004 Navalconsulting Szczecin, Poland. Built: 2004 Szczecin, Master Ltd Poland Keel History: 1964, Propulsion...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Back
Top Bottom