Nauza pikipiki aina ya skymark, inatembea na ipo katika hali nzuri, tairi zake ni mpya kabisa, imesajiliwa kwa namba mpya na kwa jina langu mwenyewe
Sababu ya kuiuza, nimechoka kutembelea...
Pata Viwanja vilivyo pimwa na visivyo pimwa, kuanzia square meter 700 adi 5000. na wenye matumizi makubwa ya ardhi ikiwa ni makapuni na watu binafsi tuna Ekari 1 adi 10 sehemu moja.
Viwanja viko...
Habari wanaJF! Nna bajeti ya mil5 - 7 natafuta kiwanja cha kujenga mkoa wa Kilimanjaro, Manispaa ya Moshi mjini, maeneo yafuatayo:
- Rau (hata Uru ya mwanzo)
- KCMC
- Soweto
- Shah Tours (hata...
Hi ni kwa wanawake na wanaume wanaopenda ngozi zao, kama unataka kuwa na ngozi mcharo bhas chukua moja kati ya hizi na matokeo yake, utafurah.... Hazichubui kwahyo wanaotaka kuwa weupe...
Wakuu na wadau wa kilimo..
Ningependa kuelewa soko la VIAZI vitamu Dar es salaam likoje. Mara nyingi zao hili linalimwa na kuvunwa kwa msimu hasa miezi ya kiangazi, je soko lake nalo ni kwa msimu...
Processor intel 1.60Ghz
RAM 2.00 GB
Hard disk 80GB
Battery life 5 hours( Ina extended battery)
Price:200,000
Haina tatizo lolote..
Phone no..+255654145154 tufanye biashara
Kipanda uso nimaradhi ya maumivu ya kichwa dalili
Nikuumwa na kichwa upande mmoja kichwa kuuma mbele yaani usoni kuuma meno yote kusikia harufu mbaya puani
Sababu zake nyama ya ng'ombe manukato...
In hati miliki. iko karibu sana Ununio Islamic High School mita kama 500 kutoka pwani na mita 500 kutoka barabara ya bagamoyo. Maji, umeme vipo karibu. Maeneo tulivu sana, yanafaa kwa familia...
Selling a LIKE NEW Nikon Coolpix S6100 Touchscreen 16 Megapixel Digital Camera with a free extra High Capacity Battery and 8gb SD memory card
This is an excellent camera that I've only had a...
Habari wana JF,
Kwakweli na furaha sana kusoma JF tangu nijiunge na inafurahisha sana. Leo naomba muongozo kidogo. Nataka kutengeneza mafuta ya kupaka mwili kama lotion na cream, je ntapata wapi...
Habari Wana JF!
Kwakweli nafurahia sana kusoma JF tangu nijiunge na inafurahisha.
Leo naomba muongozo kidogo, nataka kutengeneza mafuta ya kupaka mwilini i.e. lotion na cream, je ntapata wapi...
Nyumba au kiwanja: Kiwe maeneo ya Makonga Juu, Goba kuelekea Bagamoyo mwisho Tegeta. Kiwanja lazima kiwe na ukubwa wa 1000 square meters na hati. Bajeti iliyotengwa kwa manunuzi ya kiwanja Tshs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.