Habari wana bodi
Nahitaji mtu wa uhakika ambaye atakuwa ananiletea kuku wa kienyeji kutoka Singida.
Awe na uwezo wa kuleta kuku wa kienyeji 80 - 100 kwa wiki.
Mtu ambaye yupo Singida na anaweza...
Sofa ya watu 6 Mpya inauzwa bei nzuri, ni new model, bei ni 800,000/= maongezi yapo, imetumika miezi miwili tangu inunuliwe, anayeuza anahama
kikazi hawezi safiri nayo kupunguza gharama.
Iko...
pata bati za IT5,za mikunjo gauge28 na 30 zenye ubora wa hali ya juu,upana wa 107cm,98cm kwa bei ya kiwandani,unapelekwa bure,pia utapata fursa ya kupima ubora wa rangi,ubora wa bati,na ugumu wa...
Habari,ninahitaji dalali aliye na uzoefu mkubwa na kazi yake lakini pia awe mtu mwenye connections nyingi. Nina nyumba ninazohitaji kuziuza haraka.
Ni deal kubwa so please naomba nitafutwe na...
Nyumba tatu za kupangisha zinauzwa.
Nyumba ya kwanza ina apartments 7,kila apartment moja ikiwa na chumba na sebule yake.
Ya pili ina vyumba vitano na sebule moja ya kushare.
Ya tatu ina...
Kiwanja kipo buyun chanika kna ukubwa wa square mita 8637 hatimilik ipo umbal kutoka barabara ya lam n mitaa 700
Bei: 180mil nafas ya mazungumzo ipo kwa muhtaj wa kwel
Wadau natafuta microscope kwa ajili ya masuala ya maabara za utambuzi wa vimelea/vijidudu vinavyosababisha magonjwa kwenye mwili wa binadamu.
Aina ninayoitaka ni Olympus. Kama kuna mwenye nayo na...
HUAWEI ASCEND MATE 7 inauzwa bei tzs 550,000/=
USED ONE MONTH
Kwa taarifa zaidi 0653689968
Device Info
Huawei Released Ascend Mate 7 Android Smartphone in September 2014
Networking
Technology...
Habari ya kazi wana JF, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa.
Mimi ni mtengenezaji wa Application za Android. Ninaweza kukutengenezea Android App kwaajili ya...
Tunatatengeneza na kudezaini fanicha za ndani kisasa za aina zote kama;-makabati,vitanda,meza n.k kwa bei poa kabisa.Tupo Tabata Segerea Mwisho,pia unaweza kuwasiliana nasi kupitia;
Simu/Whatsapp...
Nyumba inauzwa Ipo maeneo ya Mbezi makabe
ukubwa wa uwanja ni 20 kwa 30
ina vyumba vitatu(master 1)
Public toilet
jiko na store
Kwa anaye hitaji tuwasiliane kwa simu namba: 0656 135 500
habari za wakati huu ndugu wana jamii. ninahitaji kununua nyanya nyingi sana moja kwa moja kutoka shabani kisha ninasambaza kwa wafanyabiashara wadogowadogo wa huku singida mjini. soko tayari...
Kiwanja cha ukubwa wa 30/25 kipo maeneo ya goba karibu na shule ya precious,kimezungushiwa ukuta tayari,umeme upo,mashimo ya choo tayari na yameishajengewa.
Price milioni 22 ila maongezi yapo.
Ofa...
Kampuni ya SIMA Investments inapenda kuwajulisha kuwa tunauza na kusambaza mafuta bora ya kupikia ya alizeti (sunflower cooking oil) pamoja na nafaka kama vile mchele, maharagwe, choroko, kunde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.