Ninahitaji nyanya nyingi sana directly from shambani

Bundeskanzler

JF-Expert Member
Mar 16, 2014
215
49
habari za wakati huu ndugu wana jamii. ninahitaji kununua nyanya nyingi sana moja kwa moja kutoka shabani kisha ninasambaza kwa wafanyabiashara wadogowadogo wa huku singida mjini. soko tayari ninalo tena ni kubwa sana tu, tatizo ni wapi nitapata mali husika. naomba msaada kwa anayejua. kwa mkulima wa nyanya naomba anitumie pm. asanteni
 
hizi ni fursa sana mkuu sema watu wengi bado hawajashtukia hizi deals za kilimo......
Agriculture inalipa sana mkuu japo watu wengi wanazidharau, vijana wengi mikoani wametoka kwa kilimo japo huku mjini wanaleta usharobalo kwa vihela vidogo wakati wakienda na japo 2mil unaweza ukatoka na income ya kutosha
 
mkuu, mimi nakuwa nauza mwenyewe reja reja pamoja na door to door delivery. nauza kwa bei ya chini tofauti na magenge ya huku. napiga hela mbaya sana aisee
Inaonekana kuwa huko wahitaji ni wengi,lkn pia shamba lako litakuwa ni dogo,maana km mtu una eneo kuanzia nusu eka na kuendelea kuuza mwenyewe rejareja inaweza ikawa ngumu.
 
Back
Top Bottom