Mbao zinauzwa

Mbao zinauzwa

uta

Member
Joined
May 1, 2012
Posts
54
Reaction score
24
Traeted timber
2*2 r.meter
2*4 r.meter
2*6 r.meter
Tupo buguruni karibu sana
Piga 0656-816616
f4de0cb28a16baa2261ce4d0488141f6.jpg
 
Unataka kuuza fasta kabla hawajaamia kenye mbao eee
 
  • Thanks
Reactions: uta
Haahaaa huku safi bana sisi wauzaji tu duh maisha huwa yanaendelea
 
Haahaaa no bana sisi wauzaji may b ukiangukia kwa mikono ya madalali
Madalali wanawaharibia sana..... hapo Buguruni tayari kuna doa, na watu wengi hupaogopa.
 
Madalali wanawaharibia sana..... hapo Buguruni tayari kuna doa, na watu wengi hupaogopa.
Ndio na systm ikishakuwa hvy ngumu kuibali peke ako ila ndo kama hv kuwatangazia watu ili uwapate bila kupitia mikono ya madalali
 
kununua mbao buguruni ni changamoto... nimeshaskia stori nyingi za kuunga tape pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom