Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei Mil 5 tu.kwa mawasiliano piga 0712 355025
1 Reactions
10 Replies
10K Views
Hello habari kwa anaetaka cctv engineer wa kufunga ,kurekebisha na hata kumonitor napatikanwa kwa namba 0715147760 tupo kikazi ,kirafiki na hata kiushauri ahsanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za mihangaiko ndugu zangu. Naombeni msaada wenu ndugu zangu kwenye kajishamba changu ninavibwawa viwili nahitaji kuweka samaki, moja niweke kambale na jingine niweke sato, hivyo naomba...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Hi Jf members,ninahitaji kununua shamba la eka moja tu nje ya mji wa singida.Eneo hilo liwe linafikika mfano eneo la Mwembe mmoja n.k.Asanteni
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Kama inavoonekana kwenye picha 500 pcs zinatakiwa Rangi iwe red Inbox me immediately
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Hi Jf members,ninatafuta shamba la heka moja tu lililopo nje ya mji wa singida,liwe eneo linaloweza kufikika kwa urahisi mfano eneo la Mwembe mmoja na Mandewa.
0 Reactions
0 Replies
845 Views
6 acres land for sale located at africana mbezi beach , suitable for industries, hotel's, schools etc Price Tshs 900 mil , all necessary legal documents are available, contacts +255718261099 or...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau nahitaji kununua gari kati ya Old Na New model Rav 4 ya mwaka 2004 naomba kujua bei.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kwa Mahitaji ya photocopy, printing, passport size, lamination ,bindings na mahitaji mengine ya Stationery fika The Living Genius Stationery kwa huduma za gharama nafuu. contacts: 0768779134
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Kiwanja chenye ukubwa wa hekari moja chenye miembe na miti mingine kinauzwa njia ya kuelekea uponera,ni takribani 2KM kutoka bomani Mahenge.(makao makuu ya wilaya) Eneo...
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Brand TECNO Y4 Black colour Used kwa miezi minne Kwa aliyeko dodoma namletea alipo Bei ni kuanzia 80,000 kushuka Nicheki 0712385672
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Vitu vyote vilivyomo dukani nguo,viatu nk vinauzwa bei Ni maelewano au Kama unataka kukodi Fremu peke yake bei Ni laki tatu na nusu kwa mwezi kwa miezi 6..Duka Lipo kinondoni studio. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
I
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji Wateja wa ndani na nje niwauzie pilipili hoho,nina mzigo wa kutosha,kila wiki,na kila mwezi kwa muda wa mwaka Mzima kuanzia mwezi huu wa kwanza mpaka mwezi wa kwanza tena 2017. Kwa...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Nipo mwanza ninahitaji kutengeneza shamba la kama heka 3. Ningependa kulima kwa tractor. Wadau nisaidie hapa Mwanza maeneo ya Nyegezi tractor nitapataje?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wanaJF Nashkuru muda mrefu umepita tangu nitoe thread yangu ya kuhusu kilimo cha michungwa inayojulikana kwa "tathmini ya mapato ya michungwa" Nimekua nikipokea simu na message na e-mail...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Mil 3.8 ipo kwenye hali Nzuri sana pigs simu 0712355025
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nauliza bei ya cm tecni boom j8 inauzwa bei gan huko daslam ss wa mikoani shida tu tuko mbal. msaada pliz.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wana jamii forum, tunauza saa za ukutani zitumikazo nyumban ofisin na sehem nyngne nyng..!! Ni saa nzur sana, na bei zake n rahisi! zipo sample nyng sana! nimeweka tu baadh hapo chini! Kama...
1 Reactions
17 Replies
8K Views
GX INVESTMENT ni kampuni ambayo tunauza Pikipiki na Bajaji za kisasa kwa bei poa kuliko kote nchini Tanzania kupitia kampuni yetu utapata punguzu la bei kwa Bajaji za kisasa TVS KING na Pikipiki...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Back
Top Bottom