Kama una plot kuanzia nusu eka vikiandu hadi dundani karibu na barabara na umeme na pia gari kubwa ziwe zinafika kwenye kiwanja. Kama unacho weka ukubwa na bei
Nataka kufanya hiki kilimo but nimepata changamoto ya kuipata eneo. Mi naish DSM nlienda kule Kimbiji Kijaka.. But nlishauriwa hakuna rutuba na kilimo ni challenge kidogo. Nikashauriwa niende...
Hellow wapendwa,
kama una mtaji wako mzuri wa kuanzia biashara za azam zote nikimaanisha maji,(buguruni),soda carbonated soft drinks(mwandege),juices (vingunguti),na vinginevyo,ushauri na kila...
Pata mashine za kutoleshea vifaranga kutoka Imberuzi investment.
Ni machine bora na za kisasa zilizotengezwa hapa nchini zimeundwa kwa mfumo wa automatic zinageuza mayai zenyewe pia zipo za ukubwa...
kujenga nyumba sio sawa namekununua gari, unaweza kununua gari ukaliuza Siku inayofata lakini sio nyumba. " NYUMBA NI SEHEMU MUHIMU KATIKA FAMILIA"
Ukitaka kujenga tutafute tukupe ushairi wa nini...
Wana bidii nahitaji cm nzuri used ambayo haitarajii kuzimika mwezi ujao niko mbeya mjini kwa Sugu mawasiliano 0758844240 au ni pm fasta tufanye bizinesi
<br />Inakupa furusa ya kumaliza matatizo uliyonayo wakati wa kupaua kwa nzia gharama,aina ya bati,rangi na ushauri wa mafundi zaidi ya watano tofauti wa ubora ule ule<br /><br />Hakuna tena...
Inakupa furusa ya kumaliza matatizo uliyonayo wakati wa kupaua kwa nzia gharama,aina ya bati,rangi na ushauri wa mafundi zaidi ya watano tofauti wa ubora ule ule
Hakuna tena gharama baada ya...
Wakuu nina hosted accounts nyingi sana naziuza kwa elfu kumi tu kwa kila accounts.
Pia natoa ushauri na mbinu mbali mbali za kufanya upate dollari za kutosha nicheki 0765321403 au 0675968762 for...
Giving out 5pcs only.
Watu wa5 wa kwanza kutuma PM
Watajipatia 1TB External HDD kwa Bei ya Happy wkend
Na hutoweza kuipata sehem yoyote ile kwa hiyo bei.
Changamkia. Sio ya Kukosa.
Bei...
Natafuta mfugaji wa kuku anayeuza mayai ya kisasa kuanzia treyi 10, bei shillingi 6,000 kwa treyi. Muuzaji awe dodoma, kama unayo nicheki 0714112838. Thanks in advance
Habari zenu wakuu?
Ninahitaji kukodi vitanda vya kulalia (godoro,mito,mashuka na mablanketi yake) ukubwa ni kuanzia futi 3X6,4X6,5X6 na 6X6.
Pia hata kama una double deck unaweza kunijuza,vitanda...
Zuwena ( sio jina lake halisi ), ni mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 43. Kwa sasa mwanadada huyu anaishi na virusi vya ukimwi. Mwanadada huyu anabainisha namna, alivyo pata maambukizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.