Uko wapi?haina tatizo lolote inauzwa kwa sababu ya shida binafsi
Hujui raha yake komaa na michinakama aitakaa niitumie samsung kwangu imenikalia kushoto
Ina tatizo ganinipo kigamboni
ngoja ipite tarehe 16 nitakutafuta mkuutecno phantom z mini A7..16gb memory.. 16 megapixel.. laki na 90 mpaka laki na 80 tu kwa anayetaka anichek kwa namba hii 0713871199![]()
![]()
ngoja ipite tarehe 16 nitakutafuta mkuu
Hahaha...chukua S4 active mkuu, 200K ila iko na cracks.ngoja ipite tarehe 16 nitakutafuta mkuu
Same here, Samsung zilinizingua mwaka juzi nikakasirika nikaamua 'kuchepuka'.Simu ambayo sitakaa niitumie ni tecno
aah wapi siku hizi copy and paste huoni tofauti mkuu mpaka uzame sana ndani .msema kweli baadaya 16 june tu
Kwani hadi leo hujui fake na og mkuu?
Duh, acha kujiendekeza mkuu.aah wapi siku hizi copy and paste huoni tofauti mkuu mpaka uzame sana ndani .msema kweli baadaya 16 june tu