Hi everyone!
Two joined plots with 3700 Square Meters facing the main road stand for sale at Mbweni JKT. The plots are suitable for building residential houses, commercial complex or apartments...
Mambo vipi wadau
Naomba msaada wenu kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa mashine ya maxmalipo anisaidie.
Au kama kuna mtu anaiuza anitafute kwa namba 0712353346
Salaam wana jamvi,
Nimepitia hapa na kugundua kuwa kuna watu wengi wanataka kufanya biashara za kuagiza vitu mbali mbali kama vile mitumba, magari au electronics za aina mbali mbali kwa ajili ya...
About doxa 2310 enterprises(online agent of roofing material)
Tunakuunganisha kupata bati kwa bei ya agent,punguza gharama jenga kwa bei halisi
Bidha:Mabati ya msouth,it4&it5(migongo...
Tanz-ice ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya kupoozea vinywaji kwenye harusi, mahafali, matamasha, migahawa na pia watu binafsi,
Barafu zetu haziyeyuki kwa haraka , tunatumia...
Ndugu habari za jioni,
Ndugu naomba kujuzwa wapi naweza nikapata mashine ya kutobolea main pipe ya inchi moja nanusu kwajiri ya kuunganisha conectore za drip irrigation iwe ya kupres au kudril...
Tunauza helment, gumboots, rain coat, oversuit, Kofia, safety boots, overall, overcoat na vifaa vya Hardware na tunasambaza cement kwa jumla.
Bei ni nzur kwa maelezo zaid piga namba 0688121308...
Habari wana Jf. Nawashukuru sana niliwahi kuomba kusaidiwa kutafuta nyumba ya kupanga mwaka jana na nilipata vizuri.
Kwa sasa mdogo wangu naye amepangiwa kazi hapo Arusha. Bahati mbaya namba ya...
wakuu mambo vipi, nauza frij used kutoka usa, shida yake ni Gesi tu nakuruhusu kuja na fundi wako aliangalie.... unaweza kunicheck kwa namba 0624 116895
WAKUBWA NI MDA WA KUTUMIA UTANDAWAZI VIZURI KWA KUPIGA MKWANJAAA, MIMI NATOA HUDUMA YA KUUZA NA KUUNGANISHA ADSENSE ACCOUNT KWENYE BLOGS NA YOUTUBE KWA KIASI CHA ELFU KUMI TU PIA NAKUUNGANISHA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.