Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Deleted
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Hi everyone! Two joined plots with 3700 Square Meters facing the main road stand for sale at Mbweni JKT. The plots are suitable for building residential houses, commercial complex or apartments...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mambo vipi wadau Naomba msaada wenu kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa mashine ya maxmalipo anisaidie. Au kama kuna mtu anaiuza anitafute kwa namba 0712353346
0 Reactions
3 Replies
1K Views
imepangishwa. Asanteni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naitaji nokia lumia kwa mwenye nayo anicheki tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Salaam wana jamvi, Nimepitia hapa na kugundua kuwa kuna watu wengi wanataka kufanya biashara za kuagiza vitu mbali mbali kama vile mitumba, magari au electronics za aina mbali mbali kwa ajili ya...
4 Reactions
48 Replies
11K Views
Kwa mahitaji ya ufundi wa shughuri zote za ujenzi na usimamizi wa ujenzi kwa gharama nafuu tuwasiliane PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
About doxa 2310 enterprises(online agent of roofing material) Tunakuunganisha kupata bati kwa bei ya agent,punguza gharama jenga kwa bei halisi Bidha:Mabati ya msouth,it4&it5(migongo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tanz-ice ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya kupoozea vinywaji kwenye harusi, mahafali, matamasha, migahawa na pia watu binafsi, Barafu zetu haziyeyuki kwa haraka , tunatumia...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
natafuta staling power ya alteza engine 3s yamaha ni 4 cylinder pamoja na ya nyuma ya kushoto,weka na bei yako hapa.contact 0785032835
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza vifaa vya bomba na vyoo jumla na rejareja
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Natafuta smartphone yeyote iwe og....mwenye nayo anicheki..then tuta exchange contacts.
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Ndugu habari za jioni, Ndugu naomba kujuzwa wapi naweza nikapata mashine ya kutobolea main pipe ya inchi moja nanusu kwajiri ya kuunganisha conectore za drip irrigation iwe ya kupres au kudril...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunauza helment, gumboots, rain coat, oversuit, Kofia, safety boots, overall, overcoat na vifaa vya Hardware na tunasambaza cement kwa jumla. Bei ni nzur kwa maelezo zaid piga namba 0688121308...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jf. Nawashukuru sana niliwahi kuomba kusaidiwa kutafuta nyumba ya kupanga mwaka jana na nilipata vizuri. Kwa sasa mdogo wangu naye amepangiwa kazi hapo Arusha. Bahati mbaya namba ya...
0 Reactions
0 Replies
812 Views
wakuu mambo vipi, nauza frij used kutoka usa, shida yake ni Gesi tu nakuruhusu kuja na fundi wako aliangalie.... unaweza kunicheck kwa namba 0624 116895
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Wadau wapi napata sehemu wanafundisha kupiga Piano kwa watu wazima ?
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Ram 2gb HDD 160 Bluetooth Wifi Betre 5hrs Size 10.1 Web cam 3g Mawasiliano: 0712191251 Bei 275000
0 Reactions
8 Replies
1K Views
WAKUBWA NI MDA WA KUTUMIA UTANDAWAZI VIZURI KWA KUPIGA MKWANJAAA, MIMI NATOA HUDUMA YA KUUZA NA KUUNGANISHA ADSENSE ACCOUNT KWENYE BLOGS NA YOUTUBE KWA KIASI CHA ELFU KUMI TU PIA NAKUUNGANISHA NA...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom