Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wandugu, habari zenu.
Ninatafuta kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya makazi
Bajeti yangu haizidi Tsh 8m. Ninapenda kiwanja hicho kiwe maeneo ya Shangarai, Makumira, Usa, na maeneo yote kuanzia Kambi ya Chupa hadi Usa.
Tafadhali, tusaidiane
Ninatafuta kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya makazi
Bajeti yangu haizidi Tsh 8m. Ninapenda kiwanja hicho kiwe maeneo ya Shangarai, Makumira, Usa, na maeneo yote kuanzia Kambi ya Chupa hadi Usa.
Tafadhali, tusaidiane