Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habarini. Nimekuwa mpenzi wa game za fifa hasa hii fifa 14, laptop nliyokuwa nikitumia imeharibika. naomba km una laptop min au yeyote ile yenye sifa hizi nitafute nkupe hela bajeti yangu...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Inaenda kwa 20m Low millage ya 2005
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nina masoko ya madini aimba mbalimbali na vitu vya zamani kama rupia, kufuli, pasi nk. Kama unavyo nitafute kwa 0784-488 854
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF. Ninaomba msaada wa mahali pa kuyapata Mashuka ya Uganda na Pakistan hapa Tanzania kwa bei ya jumla. Au kama kuna mtu anaushauri mzuri wa jinsi ya kufanya biashara ya mashuka...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye muziki kwa ajili ya kuburudisha wateja bar anijulishe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MODEL: H6400 PRODUCT HIGHLIGHTS * Multi-System Compatible * Full HD (1920 x 1080) Resolution * Smart Hub / Smart Interaction 2.0 * Clear Motion Rate 400 * Full HD Active 3D Technology *...
0 Reactions
1 Replies
960 Views
NATENGENEZA VITU VINGI SANA VINAVYO HUSIKA NA GRAPHIC DESIGN TWENDE PAMOJA NAIMANI UTANIELEWA.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu, Nahitaji mkopo wa 500000 ndani ya 24 hours ambao nitalipa tarehe 4 kwa riba ya asilimia 20. nina tatizo urgent. tafadhali niko serious. Ninamiliki biashara iliyosajiliwa, kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam..nauza large format printer kwa bei nzuri kama ifuatavyo: Make:Yilong Technologies Condition:New Price:Tsh 14m Operation:Full automatic location:Dar es salaam kwa kuiona au maswali zaidi...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu nauza uwanja wangu upo vikindu njia ya kwenda Vianzi mwendo wa dakika 4 kwa pikipiki kutoka vikindu madukani ukubwa ni 62/58 futi ndani ya eneo kuna...
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Habarini wanajf! Niko Mtwara vijijini na huku niliko kuna kilimo cha matunda aina ya mapensioni pamoja na mananasi, mwenye kufahamu lilipo soko la matunda haya kwa mkoani Mtwara pamoja na lindi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu nna pikipiki yang ila imechakaa zile cover za njee aina ya lifan 110 zile ndogo, je hizo show au cover za njee ntazipata wapi me niko dodoma ila hata dar nnauwezo wa kwenda kuzitafta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote Ina 4wd AC iko safi Automatic gear Inatumia petrol Power windows Model ya mwaka 1992 Bei ni milioni 9 tu. Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wadau natafuta nyumba ya kupanga chumba na sebule yenye choo cha ndani. maeneo ya kimara ila isiwe mbali na main road pia maji yawepo. Asanteni sana.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za asubuhi. Naomba kufahamishwa gharama za kujenga msingi wa jengo lenye ghorofa kumi kwenye kiwanja cha sqm 400.Naomba ifahamike hapa kwamba kiwanja kitakuwa "full utilized" Naomba...
0 Reactions
3 Replies
863 Views
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand, ukubwa 50 kwa 40 pako vizr na njia nzr inafikika kwa urahisi kabisa..Bei yake Tsh.35ml lakn pia maongezi yapo.. Kwa maelezo zaidi au kuja kupaona tunaweza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni wa wiki mbili na nusu na wiki tano, wiki mbili na nusu wako 450 na @ 2500 na wiki nne @ 4500, wako 100. PWako Dar 0714018728
0 Reactions
0 Replies
896 Views
nahitaji tv ya nchi 20 nipo arusha iwe ktk hali nzur uwe,arusha iwe chogo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa anayetaka till ya tigopesa na airtel money anipm nimpunguzie bei Tsh. 200k tigo kwa 100k airtel
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Back
Top Bottom