Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau wa jf. Natafuta pikipiki used. Iwe ya Kijapani au KKihindi. Nitumie private msg kama unaweza kusaidia katika hili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuanzia leo tunaanza biashara ya mikeka Tutaenda kwa rules 5 1. Tutaweka mikeka miwili tu + bonus 1 ambapo huu wa bonus utaweka hela ndogo ambyo haipaswi kuwepo kwny mahesabu 2. Mkeka 1 utakuwa...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Recently nimefanya research ya biashara ya mchele, mahindi na mkaa. Namaanisha nimejua wapi naweza kupata bidhaa hizo kwa bei rahisi (within these 2 months June & July) na wapi soko lilipo(DSM)...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam wadau...ni nauza printer Kubwa ya mabango (Large Format) mpya kabisa na imeharibika. Imetengenezwa na Yilong Corporation.Inaprint kwenye karatasi ngumu na nyepesi na hata platics na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama wewe ni mfanyabiashara wa bar au unampango wa kufungua bar basi karibu, kuna eneo sahihi kwa ajili yako maeneo ya mwenge, Bar inahususha sehem kubwa ya counter, store kwa ajili ya vinywaji...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Solar Water Pump (SP 300) Product Description/Maelezo. SP 300 ina:- 1. Solar Panel Mbili 2. Controler moja. 3.Water Source Sensor moja na Water Storage sensor moja 4.Thread Seal tape 5 5.GI...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi Please anayejua iwapo bei za vifaa vya electronics ni nzuri mjini Doha tafadhali atujuze. Nasikia Uarabuni hivi vitu ni bei rahisi!
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Frame inapangishwa ikiwa na bidhaa nyingine kama ukizihitaji utauziwa au kutolewa Lilikuwa duka la nguo vipodozi na urembo na viatu Karibun
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iwe Apartment ya 3bedroom, seaview, Peninsula offer isizidi 300,000USD. 0689315582
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kiko kimbiji kwa Morisi.Km 40 kutoka Kigamboni. Kiwanja kiko jirani na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni. Panafaa kujenga maduka,yadi ndogo,kufyatua na kuuza matofali,hoteli...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ASILI YETU Tunapenda kuwataalifu tunauza ndenge haina ya Bata Mzinga wakubwa miezi mitano JIKE.100,000 DUME.120,000 TUPO: Arusha kwa mawasiliyano +255 758 811 234
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza line zangu za tigopesa,mpesa na airtel zote kwa 400 tu,0654879476
0 Reactions
6 Replies
1K Views
GATEWAY DESKTOP COMPUTER INAUZWA… SPECIFICATION ZAKE v Hard Disk 1TB (GB 1000) v Ram 6 GB v Processor Core i3 v Mouse and keyboard ni wireless (bado ni mpya) v Display Inch 21 v Inasupport...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafadhali kama unauza au unafahamu mtu anauza Toyota IST niambie. 1. Iwe bado nzuri ndani na nje 2. Bei isizidi 6,000,000 TShs 3. Kama ipo Dar ni safi zaidi 4. Zinatafutwa kwa wingi 5. Weka...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wanajamii, Nauza HITI Printer 420, Maelezo mafupi: -Machine inayotoa passport za haraka saizi zozote bila kuhitaji computer a -Wino unakuja ana karatasi zake 50 unapata kwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Honda hii imesajiliwa na nyaraka zote zipo. Bei ni mil 3.2, maelewano kiasi yapo kwa atakaye serious.Pikipiki ipo Mkuranga mjini. Kwa mawasiliano zaidi, nitumie ujumbe kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ipo nyuma ya mayfar plaza msasani
1 Reactions
1 Replies
800 Views
Habari zenu wakuu, nauza Toyota Starlet Carat, bei ni Tsh 6.5 maelewano yapo. Gari ipo kwny hali nzuri, vibali vyote vipo. Imetembea takribano 83,000km, nimeambatanisha na picha zke hapo chini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta mayai ya kuku wa kisasa, yawe makubwa. Nahitaji tray 1,000/- kwa wiki. Yawe makubwa na tray MOJA kwa TZS 7'000/- Call me via 0717/ 0767 454455 Let us do business together
0 Reactions
6 Replies
2K Views
True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start today on 09/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom