Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Panasonic HDC-HS300. 3mos 1920 fullHD. Inatumea HDD (120GB) ipo katika hali nzuri kabisa na inafanya kazi kama unavyoona katika pictures ipo na external mic, bag,2 batteries na original box . ipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu. Bila ya kuchelewa wala nini,naomba tujikite kwenye mada hapo juu. Harrier yenye specs zifuatazo inahitajika 1: colour "black or silver" 2: transimission "auto" 3: cc...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu nna Toyota RAV 4 ya mwaka 1998 nataka nibadilishane na mtu mwenye Toyota IST ya mwaka (2000-2003), kwa mwenye uhitaji huo tafadhali. Aidha kulingana na utofauti wa bei ntahitaji kuongezewa...
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Habari Ndugu zangu, nahitaji friji size ndogo kabisaa zile zenye watts 90.. Kama unajua wapi naweza zipata mpya kabisa msisite kuniambia na bei zake. Asanteni.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nafundisha accounting Packages mbalimbali kwa watumiaji na supporters. Hii ni pamoja na Sage evolution, Pastel Partner, premier payroll, Tally na Sage HR. Elfu themanini kwa kila...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello! 1200 Sqm stand for sale in Mbweni JKT Block 6. Build the home of your dreams and this huge stand in a lovely Mbweni JKT neighborhood just 1km to Mbweni beach. It is a bargain not to be...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii inawezekana jamani nipo tabata segerea. Naombeni kujuzwa
1 Reactions
11 Replies
1K Views
kama habari hapo juu,pm bei na picha,kuanzia 25 june.security maji muhimu kiwe furnished na kila kitu.muda kukaa ni siku 25-30. tiririkeni bei kwa pm na no.
0 Reactions
0 Replies
487 Views
Kuku Chotara majogoo na majike yanauzwa kwa sh. 15,000/= tu kila mmoja. Pia Mayai ya Kuku Chotara yanauzwa kwa sh. 12,000/= kwa trei. Mwenye kuhitaji ani PM
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kiwanja kinauzwa, kipo njia ya kwenda Iringa maeneo ya CHIDACHI(Chidachi South). Ni kiwanja cha pili kutoa barabara kuu ya Dodoma-Iringa. Ni Kizuri kwa makazi na biashara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau. Kwa yeyote aliepo Arusha mwenye Toyota IST inahitajika. Iwe namba C. Bei maelewano
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Naomba kujua ni wapi naweza pata mashne bora ya kuangua mayai. Na gharama zake kulingana na idadi ya mayai.
0 Reactions
3 Replies
978 Views
Specious,Prime Location, in kariakoo only six remained. Call for visit or for More info: 0622100020
0 Reactions
1 Replies
946 Views
Contact 0659633720 Comes with Warranty Card. OS Android OS, v5.1 (Lollipop) Chipset Qualcomm MSM8939 Snapdragon 615 CPU Quad-core 1.8 GHz Cortex-A53 & quad-core 1.3 GHz Cortex-A53 GPU Adreno 405...
0 Reactions
2 Replies
884 Views
We supply, install & maintain all types of room A/C and fridge on request and contract basis at affordable price. Get service at your doorstep, contact us now: 0683 325564 DSM- tabata. Also...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Condition: Good Model : 2001 Cc: 1998 Full mziki with sports rims Haina tatizo lolote
0 Reactions
5 Replies
3K Views
HABARI WADAU, NAUZA LINE ZANGU ZA TIGO PESA NA MPESA. BEI: 200,000 KILA MOJA (ZOTE 350,000) NICHEKI KAMA UNAHITAJI AU UNA MTU ANAHITAJI
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello! Two joined plots stand for sale at Mbweni Malindi block B, the have two separate tittle deed. The price is negotiable and they are sold both...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fursa Onecoin Crypto Currency, Inayokuja badala ya Bitcoin... OnECOIN CRYPTO CURRENCY [/IMG] Karibu katika uwekezaji wa wa kidjitali. Nunua hisa (coin) uweze kufaidika kulingana na upandaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom