Habari zenu?
Kwa wale wahitaji wa kiwanja kipo maeneo ya Kwa Morombo kwa Pateli,ukubwa ni mita 10X20,bei ni milioni 5.
Huduma za maji na umeme zipo mbali kidogo.
Kwa anayehitaji 0752489529 au ni PM.
Vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana kwa Sh. 5,000-10,000 na vifaranga wa bata mzinga wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000. Atakayehitaji anitafute kwa namba 0753249862. Karibuni Sana.
Kama ulikua unatafuta au unahitaji kiwanja Dodoma mjini Usipitwe na hiii Bei yake nafuu haijawahi kutokea
Sehem :Makuru karibu na Barabara ya stend ya dodoma
Bei:Maelewano lakini n nafuu Sana...
MODEL: H6400
PRODUCT HIGHLIGHTS
* Multi-System Compatible
* Full HD (1920 x 1080) Resolution
* Smart Hub / Smart Interaction 2.0
* Clear Motion Rate 400
* Full HD Active 3D Technology
*...
MAFUTA HAYA YA QUEEN HEREN NI MAFUTA HALISI YA KUTUNZA NGOZI NA KUING'ARISHA NGOZI BILA KUCHUBUA!
HABARI ZA QUEEN ELIZABETH TUPA KULE KWA SABABU YANACHUBUA KWA KIASI CHAKE! LAKINI QUEEN HEREN...
Nina plots 3 ziko Singida
Cha kwanza ni heka 9
Cha pili ni heka 8
Cha tatu ni hela 8.5
Kila plot kina mining Licence
Anyone that will be interested plz contact me 0676 983196
Naitaji aridhi heka 5
Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar
Iwe imepimwa
Budget yangu ni 10m.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand.ukubwa 40 kwa 50 pako vizr na njia nzr inafikika,bei yake 35ml.bei ina maongezi
Kwa maongezi na kupata tarifa zaidi wasiliana nami kwa simu no: -
0756060183
Kiwanja chenye nyumba iliyoendelezwa na kufikia kwenye rental(vyumba 3, kimoja ni self container, choo cha ndani ya nyumba ). Bei ni 14m kwa serious buyer maongezi yapo, eneo lipo Morogoro...
Ndugu waheshimiwa walimu,
Mwalimu wa bookkeeping anatafutwa kwa ajili ya kufundisha kidato cha I hadi IV
Kama ni wewe au jirani yako au rafiki wasiliana nasi.
0753903809
Plots mbili ziko moriet ukubwa 33 by 22 each ni surveyed price 25nmb each, Kia kuna plots mbili moshono one is 25 by 20 location nzuri sana @ 20 min n.a. nyingine 22 by 20 @ 12Mln. Kama uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.