Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kina ukubwa wa 35 kwa 25, kina nyumba ya matofali ya block(rum 2 kawaida 1 self,jiko na public toilet ndani) iliyoishia kwenye renta, kipo Morogoro(Bigwa Misongeni). Bei ni 14m na sihitaji...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
PHOTOCOPY MACHINE AINA ZA KYOCERA ,RICOH .TUNAUZA KWA BEI POA. PIA TUNAFUNGA NA KUFANYA MAINTENANCE, TECHNICAL ASSISTANCE. CONTACT. WILFRED EDWARD NYANGILA MOB.+255 719 603040 EMAIL...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
photocopy aina za kyocera na ricoh zinauzwa bei nzuri sana .pia tutakufungia. piga simu no. +255 719 603040
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu zanguni nahitaji msaada nataka kufanya biashara ya simu za mkononi brands hasa za Tecno zile za mtu wa kawaida nikiwa na maana ya simu ambazo sio smart. Hivyo niombe msaada ni maduka gani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Deleted
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kama unahitaji, Wasiliana nasi kwa 0716 777 300. Tunakuletea popote pale!! Sema tu unahitaji ipi!
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Natafuta Android 5.1 tablets brand nzuri.Nahitaji kama 15 in total with good memory. where can I get genuine tablets and at what price. I'm reached at damax@gmx.com or nat867@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Nipo Arusha kwa anaye uza Mashine ya kufulia kwa domestic use anijuliahe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, nina gari aina ya Honda CR-V ya mwaka 1999 nauza kwa sh 7.5M. Gari ni Automatic na ipo katika hali nzuri, imetembea umbali wa Km 169,000 na ina insurance na toad licence mpaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, Natafuta dereva kwa ajali ya familia; 1. Jinsia ya kike 2. Awe mkazi wa Dar es Salaam hasa maeneo ya sinza, kijitonyama, Kinondoni, Mwenge. 3. Awe na leseni halali ya kuendesha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hello there kama una website iliyopotea hewani ghafla then nipm.....vile vile narudisha password za web admin zilizosahaulika na kupotea......nipm or text 0654262419
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari Gari aina ya HONDA CRV inauzwa hapa jijini Mwanza. Inaingia nchini March, 2015. Namba ya usajili ni DDM, bei ni 10m. kwa mawasiliano piga namba. 0765072213 Picha zitafuata kesho
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Jf, Kwa wale wote wenye uhitaji wa msusi na dada wa saloon tuwasiliane kwani yupo msichana(binti) mchapakazi mwenye umri wa miaka 24 anaishi Mabibo_Dar es Salaam. Ni mwaminifu, na hodari...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Jamani mbuzi wa maziwa haooooo! Wanauzwa kuanzia 100,000/= hadi 250,000/= Dar Es Salaam Mbagala Kongowe. Sababu za kuuza ni kubadili mradi. Piga 0767802075 kama umependa
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nimecheki mtandaoni watu walipendezewa na suti ndo nikakuta hawa wazee, wakuu Wapi naweza pata suti kama walizovaa hapo?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba kwa wana Jf, msaada wa wapi naweza kununua kifaa hiki na bei yake. " Heat press for tshirt Priting"
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Maziwa fresh na mtindi yanapatikana hayana maji kabisa ni mazuri sana lita moja ya maziwa fresh ni tsh 2000 na mtindi ni tsh 2500 1. Lita tano ni tsh 12500 kwa maziwa ya mtindi 2.Lita tano ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kabati la vyombo from japan limetengenezwa kisasa zaid bei maelewano. Eheeeee for sale jombaee kaz kwako.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tunachimba visima bei ni TZS 70,000/= kwa mita moja na hii bei ni kwa wale waliopo Dar es salaam ila kama upo nje ya Dar es salaam tunachimba Laki moja kwa mita moja. Tunafunga Pampu pamoja na...
0 Reactions
63 Replies
8K Views
Wanajamvi habarini za leo? Naulizia mafundi wazuri wa AC maeneo ya Kimara mpaka Mbezi Mwisho. Mwenye ufahamu naomba atupe mawasiliano hapa. Akhsante nawakilisha Mdau
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom