Kiwanja kina ukubwa wa 35 kwa 25, kina nyumba ya matofali ya block(rum 2 kawaida 1 self,jiko na public toilet ndani) iliyoishia kwenye renta, kipo Morogoro(Bigwa Misongeni). Bei ni 14m na sihitaji...
PHOTOCOPY MACHINE AINA ZA KYOCERA ,RICOH .TUNAUZA KWA BEI POA. PIA TUNAFUNGA NA KUFANYA MAINTENANCE, TECHNICAL ASSISTANCE.
CONTACT. WILFRED EDWARD NYANGILA
MOB.+255 719 603040
EMAIL...
Ndugu zanguni nahitaji msaada nataka kufanya biashara ya simu za mkononi brands hasa za Tecno zile za mtu wa kawaida nikiwa na maana ya simu ambazo sio smart.
Hivyo niombe msaada ni maduka gani...
Natafuta Android 5.1 tablets brand nzuri.Nahitaji kama 15 in total with good memory. where can I get genuine tablets and at what price. I'm reached at damax@gmx.com or nat867@gmail.com
Habari wakuu, nina gari aina ya Honda CR-V ya mwaka 1999 nauza kwa sh 7.5M. Gari ni Automatic na ipo katika hali nzuri, imetembea umbali wa Km 169,000 na ina insurance na toad licence mpaka...
Habari wadau,
Natafuta dereva kwa ajali ya familia;
1. Jinsia ya kike
2. Awe mkazi wa Dar es Salaam hasa maeneo ya sinza, kijitonyama, Kinondoni, Mwenge.
3. Awe na leseni halali ya kuendesha...
hello there
kama una website iliyopotea hewani ghafla then nipm.....vile vile narudisha password za web admin zilizosahaulika na kupotea......nipm or text 0654262419
Habari
Gari aina ya HONDA CRV inauzwa hapa jijini Mwanza. Inaingia nchini March, 2015.
Namba ya usajili ni DDM, bei ni 10m. kwa mawasiliano piga namba. 0765072213
Picha zitafuata kesho
Habari Jf,
Kwa wale wote wenye uhitaji wa msusi na dada wa saloon tuwasiliane kwani yupo msichana(binti) mchapakazi mwenye umri wa miaka 24 anaishi Mabibo_Dar es Salaam.
Ni mwaminifu, na hodari...
Jamani mbuzi wa maziwa haooooo! Wanauzwa kuanzia 100,000/= hadi 250,000/= Dar Es Salaam Mbagala Kongowe.
Sababu za kuuza ni kubadili mradi. Piga 0767802075 kama umependa
Maziwa fresh na mtindi yanapatikana hayana maji kabisa ni mazuri sana lita moja ya maziwa fresh ni tsh 2000 na mtindi ni tsh 2500
1. Lita tano ni tsh 12500 kwa maziwa ya mtindi
2.Lita tano ya...
Tunachimba visima bei ni TZS 70,000/= kwa mita moja na hii bei ni kwa wale waliopo Dar es salaam ila kama upo nje ya Dar es salaam tunachimba Laki moja kwa mita moja. Tunafunga Pampu pamoja na...
Wanajamvi habarini za leo?
Naulizia mafundi wazuri wa AC maeneo ya Kimara mpaka Mbezi Mwisho. Mwenye ufahamu naomba atupe mawasiliano hapa.
Akhsante nawakilisha
Mdau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.