ntakisigae
Senior Member
- Nov 26, 2013
- 177
- 58
Kiwanja kiko kimbiji kwa Morisi.Km 40 kutoka Kigamboni.
Kiwanja kiko jirani na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni.
Panafaa kujenga maduka,yadi ndogo,kufyatua na kuuza matofali,hoteli au baa kiasi.
Bei ni mil10.Maelewano kiasi yapo.
Nitumie ujumbe kwa 0657011122.Ujumbe utafaa zaidi, na mimi nitakupigia.
Sihitaji dalali.Karibuni!
Kiwanja kiko jirani na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni.
Panafaa kujenga maduka,yadi ndogo,kufyatua na kuuza matofali,hoteli au baa kiasi.
Bei ni mil10.Maelewano kiasi yapo.
Nitumie ujumbe kwa 0657011122.Ujumbe utafaa zaidi, na mimi nitakupigia.
Sihitaji dalali.Karibuni!