Hello wana jamii...
Kwa wale wapenzi wa vitabu vya riwaya za upelelezi, napenda kuwatangazia kuwa sasa kitabu cha malaika wa shetani kinapatikana kwa bei ile ile ya shilingi elfu 10,000.Ili kupata...
Sofa mpyaa ya watu 6, ni ya kisasa, ina miezi miwili tangu inunuliwe, mwenye nayo anahama kikazi hawezi safiri nayo kupunguza gharama, Mpya ni 1.5m Ila kwa Sasa hivi anaiuza 800,000/= tuu...
Habarini za kazi wanajamii forum, naomba msaada wa mtu wa coca cola ambao huwa wanaandika majina kwenye chupa za coca Nina function hapa shuleni kwangu nataka wanafunzi waandikiwe majina nipo...
Wandugu, habari zenu.
Ninatafuta kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya makazi
Bajeti yangu haizidi Tsh 8m. Ninapenda kiwanja hicho kiwe maeneo ya Shangarai, Makumira, Usa, na maeneo yote...
POTTY ZA WATOTO
1. Rahisi kubeba
2. Zina kina kirefu cha kutosha
3. Unaweza safiri nazo popote kwa gari yako au basi au ndege
4. Baada ya mtoto kujisaidia unafunga lock, uchafu na mikojo...
Natafuta upande wenye Chumba kimoja ,sebule na jiko,choo kiwe ndani au nje lkn kinajitegemea,luku ya kujitegemea .Maeneo yawe Ubungo,River side au Tabata..
Wadau heshima kwenu?
Niliwahi kusafirisha parcels to Stavropol,Russia miaka kadhaa nyuma,ila kampuni hizo zimekataa kusafirisha mzigo wangu kwa sasa kwa madai kuwa sheria ya Russia inakataza...
KGE & MGE NI kampuni inayo jishughulisha na uundaji na utengenezaji wa Power Inverter ,Back up machine, Mashine za kuangulishia vifaranga vya kuku zinazo tumia umeme na zile zitumiazo mafuta ya...
Je, una maswali juu ya upimaji viwanja?
Je, una maswali juu ya ujenzi?
Je, unawaza jinsi ya kuendeleza ardhi yako, misitu ama shamba?
USIWAZE USISUMBUKE!
A~Touch Design Co. Ltd inakupa wakati...
Hi everyone!
Two joined plots with 3700 Square Meters facing the main road stand for sale at Mbweni JKT. The plots are suitable for building residential houses, commercial complex or apartments...
Mambo vipi wadau
Naomba msaada wenu kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa mashine ya maxmalipo anisaidie.
Au kama kuna mtu anaiuza anitafute kwa namba 0712353346
Salaam wana jamvi,
Nimepitia hapa na kugundua kuwa kuna watu wengi wanataka kufanya biashara za kuagiza vitu mbali mbali kama vile mitumba, magari au electronics za aina mbali mbali kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.