Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tafadhali kama unauza au unafahamu mtu anauza Toyota IST niambie. 1. Iwe bado nzuri ndani na nje 2. Bei isizidi 6,000,000 TShs 3. Kama ipo Dar ni safi zaidi 4. Zinatafutwa kwa wingi 5. Weka...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wanajamii, Nauza HITI Printer 420, Maelezo mafupi: -Machine inayotoa passport za haraka saizi zozote bila kuhitaji computer a -Wino unakuja ana karatasi zake 50 unapata kwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Honda hii imesajiliwa na nyaraka zote zipo. Bei ni mil 3.2, maelewano kiasi yapo kwa atakaye serious.Pikipiki ipo Mkuranga mjini. Kwa mawasiliano zaidi, nitumie ujumbe kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ipo nyuma ya mayfar plaza msasani
1 Reactions
1 Replies
780 Views
Habari zenu wakuu, nauza Toyota Starlet Carat, bei ni Tsh 6.5 maelewano yapo. Gari ipo kwny hali nzuri, vibali vyote vipo. Imetembea takribano 83,000km, nimeambatanisha na picha zke hapo chini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta mayai ya kuku wa kisasa, yawe makubwa. Nahitaji tray 1,000/- kwa wiki. Yawe makubwa na tray MOJA kwa TZS 7'000/- Call me via 0717/ 0767 454455 Let us do business together
0 Reactions
6 Replies
2K Views
True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start today on 09/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Certified Information Systems Audit (CISA) Mock Exam is scheduled to be conducted on 28/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building, Institute of Internal Auditors conference room, Fourth Floor...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mtihani wa Mock test umepangwa kufanyika tarehe 28/05/2016 kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana. Mtihani huu unawaandaa wanaohitaji kufanya CISA Exam ya June na September. malipo ni Tsh...
0 Reactions
5 Replies
969 Views
Ukubwa:square mita 600 Eneo:Tungi/ Kigamboni/Dar Es salaam oposite na Shule Ya FRAY LUIS AMIGO kina leseni ya makazi Bei:tsh 120,000,000 (Tshilingi Mil 120) Mob: 0718295182 unaweza ncheki watsap...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
It is industrial plot here in Kibaha with sqm 6500 well registered with full documents for more details contact 0655619108
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Necklace sh 7000 na cha mkononi sh 3000. Ni pm kama unahitaji.
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Shamba lipo linaukubwa wa kutosha maji kibao kama unataka plz ni pm tuelewane bei ni ndogo karibu na bure. waweza lima mazao ya mbogamboga, mazao ya biashara na nk. Nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Viwanja viwili vinauzwa vya ukubwa wa 32 * 26. Havijapimwa. Viko makabe karibu na kituo cha polisi. Ukiwa bararani hapo kituo cha polisi unaviona.Kila kimoja ni tsh 40 ml. Nyumba na inauzwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Toyota Corolla X Mwaka 2001 Km. 150329 Tshs 5.5 Cc 1496 Engine VVT-I Vibali vyote vipo hai Gari ipo kwenye hali nzuri sana 0655874863
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Amani iwe kwenu wadau Nauza viwanja vipo mbezi msakuzi maarufu kama Pilikapilika/machimbo ni pembeni mwa barabara ya kwenda Makabe ukiingilia barabara ya Mbezi high school. Viwanja vipo vinne...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nyumba INA vyumba 3 kimoja self, jiko,nk Nyumba bado mpya. Bei yake 150ml. Maongezi yapo, kwa mawasiliano zaidi au kutaka kuiona wasiliana nami kwa 0756060183
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wana JF nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji hasa mahindi na mbogamboga naomba kujua gharama za vifaa hasa mabomba ya kutandaza shamba lenye ukubwa wa ekari moja. natanguliza shukurani
0 Reactions
0 Replies
3K Views
JMK ROYAL SERVICES Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life) Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Pikipiki aina ya boxer, imetumika kwa miezi 8 tuu na ilikuwa inatumika kwa ruti fupifupi za kibinafsi (kuendea chuo tu) na sio za kibiashara,hivyo ipo katika hali nzuri na Haina tatizo lolote. BEI...
1 Reactions
24 Replies
11K Views
Back
Top Bottom