Tunahitaji gari ndogo ya kukodi kwa kutwa maelewano km sh 25,000 per day(120 km limit per Day) ikiwezekana na deposit kama security tutaweka ndani ya jiji la Dar 35 km radius na inaweza...
Habari wana jamvi
natotolesha vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa order bei ya kifaranga kimoja ni tsh 1500.karibuni sana nipo sinza dar.Pia kama una mayai yako tunatotolesha kwa sh 10000 kwa trey...
JMK ROYAL SERVICES
Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life)
Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
Wadau natafuta dada wa kufanya kazi ya kutoa dawa kwenye duka langu la dawa muhimu. Duka Liko pembeni mwa jiji la Dar. Kama kuna mtu anatafuta kazi hiyo anitafute kwa kuni Pm
JMK ROYAL SERVICES
Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life)
Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
Kuanzia leo tunaanza biashara ya mikeka
Tutaenda kwa rules 5
1. Tutaweka mikeka miwili tu + bonus 1 ambapo huu wa bonus utaweka hela ndogo ambyo haipaswi kuwepo kwny mahesabu
2. Mkeka 1 utakuwa...
Recently nimefanya research ya biashara ya mchele, mahindi na mkaa. Namaanisha nimejua wapi naweza kupata bidhaa hizo kwa bei rahisi (within these 2 months June & July) na wapi soko lilipo(DSM)...
Salaam wadau...ni nauza printer Kubwa ya mabango (Large Format) mpya kabisa na imeharibika. Imetengenezwa na Yilong Corporation.Inaprint kwenye karatasi ngumu na nyepesi na hata platics na...
Kama wewe ni mfanyabiashara wa bar au unampango wa kufungua bar basi karibu, kuna eneo sahihi kwa ajili yako maeneo ya mwenge, Bar inahususha sehem kubwa ya counter, store kwa ajili ya vinywaji...
Solar Water Pump (SP 300)
Product Description/Maelezo.
SP 300 ina:-
1. Solar Panel Mbili
2. Controler moja.
3.Water Source Sensor moja na Water Storage sensor moja
4.Thread Seal tape 5
5.GI...
Habari zenu wanajamvi
Please anayejua iwapo bei za vifaa vya electronics ni nzuri mjini Doha tafadhali atujuze. Nasikia Uarabuni hivi vitu ni bei rahisi!
Kiwanja kiko kimbiji kwa Morisi.Km 40 kutoka Kigamboni.
Kiwanja kiko jirani na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni.
Panafaa kujenga maduka,yadi ndogo,kufyatua na kuuza matofali,hoteli...
GATEWAY DESKTOP COMPUTER INAUZWA…
SPECIFICATION ZAKE
v Hard Disk 1TB (GB 1000)
v Ram 6 GB
v Processor Core i3
v Mouse and keyboard ni wireless (bado ni mpya)
v Display Inch 21
v Inasupport...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.