Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta tani 10 za pilipili manga...ninunue....kama unazo nitafute kupitia 0687488730
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi all, an international NGO with offices in Dar inataka kukodisha mini iPads 13 haraka kwa ajili ya data collection (not later than 11th July). Kama unazo piga 0763140247. Rates and all else...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Natafuta kiwanja maeneo ya boko au bunju
0 Reactions
2 Replies
820 Views
eka mbili kila eka milioni mbili.eneo zuri kwa kilimo cha umwagiliaji.au ufugaji wa samaki maana chanzo cha maji huakika.udongo mfinyanzi hauitaji kujengea bwawa kwa muhitaji ani pm
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Ndugu wote na marafiki na wasio marafiki wenye tatizo la mdomo kutoa harufu mbaya ninawaarifu kuwa sasa nina dawa sahihi huhitaji nikutumishie kwenye basi, kila kitu ntakachokuelekeza unacho hapo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
isiwe imechoka sana. body na engine viwe haijaguswa. yaani engine haijawah funguliwa kabisa na body haijapigwa Rangi. Bei ni Tsh Mil 3.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naiko maeneo ya mbezi beach huku nahitaji kwenda massage iliyo maeneo ya huku..kama kuna mtu yoyote anayejua massage iliyo huku anitajie na mahali ilipo:israel:
0 Reactions
18 Replies
6K Views
wapendwa mtu mwenye saa tajwa hapo juu inahitajika saaaana tagadhali hasa Original,lakini pia mwenye saa nje nab.seiko 5 gold bei mwisho. 330,000/
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NAUZA LINE ZA MPESA NICHEK KWA NO HII 0718192437 TSH 300000/=
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kwa walio serious wanicheck 0654083835/0712046405 HAINA TATIZO LOLOTE NAHITAJI KULIPA ADA YA MTOTO MAELEWANO YAPO MSIHOFU
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Kama kichwa kinavyoeleza, tunauza frame zenye mapambo mbalimabali, kwa bei rahisi, kazi hizi zote ni za mkono, kwa mawasiliano piga + 255 713555991/+255 776555991
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nauuza line za mpesa mwenye kuiitaJI ANITAFUTE KWA NO 0718192437
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Wakuu naombeni msaada wa haraka niko Zanzibar nataka kununua gari nina 10M,mwenyeji wangu kanipeleka showrooms kama 5 hivi na gari nayotaka ni kati ya hizo tajwa carina ti,si,ba mark ii,.Ipi nzuri...
1 Reactions
19 Replies
16K Views
wadau kuna mashudu yanauzwa ni ya alizeti kwA rangi ni meusi, yapo tani kumi nakwa kilo ni 500 karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wote wanaopenda wallet za kisasa kabsa karibun tunauza wallet bei zetu ni nzur na tunadeliver kwa Mteja akihitaji,, pia tunatuma na mkoan..... Karibun nyote
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Simu inauzwa aina ya Sony Xperia Z1 kwa shilingi laki tano alie tayari anicheki kwa namba hii 0753303502
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama hizi hapa ambazo ni used nitazipata wapi? Na je mpya ni sh ngapi?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ninaomba mtu yoyote mwenye uelewa na Bundle pricing hasa ya University offer aniletee bei zao Na pia List ya Vyuo walivyoanza navyo itakua vizuri zaidi. Pia siyo mbaya ukaniambia mema na mabaya...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
ina dolla 9.30 kwa mawasiliano zaid piga namaba 0756716554
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Wakuu kwema? Nahitaji gari zifuatazo wakuu. Raum new model no.c au d premio new model no c au d zote ziwe na hali nzuri 0753255844
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom