Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau wangu wa nguvu leo nimefungua jiko hapa Mabibo jeshini Ambagai bar Karibu sana mje mnipe kampani. Asubuhi ni supu ya utumbo wa mbuzi, supu ya nyama na mtori, mchana ni ugali nyama choma na...
12 Reactions
74 Replies
8K Views
Viwanja vinauzwa kwa bei tofauti tofauti,Kulingana na Ukubwa Maeneo CHAMANZI,MBANDE,MSONGOLA,KIVULE,CHANIKA,VIKINDU Simu Yangu 0715 34 92 76
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kutoka blog ya Bongo5 Unaikubali simu yako ya Tecno? Shinda safari ya Uingereza ukajiachie na supastaa | Bongo5.com Kampuni ya simu ya Tecno hii leo imezindua kampeni ya Christmas ambayo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwanza kabisa niweke wazi kuwa mimi si mtaalamu katika eneo la ujenzi kwa maana ya quantity surveyor, architect, engineer. Kwa ufahamu wangu mdogo kama mtu wa kawaida ni kuwa, katika ujenzi wa...
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Mwenye desktop kuanzia core i3 complete tuongee fasta, nahitaji leo hii hii 0715812160
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Habari wakuu, nauza uyoga kwa , mbichi na mkavu karibuni sana, utaletewa popote ulipo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari,naombeni mnisaidie ni friji gani ambayo ni nzuri kwa matumizi ya nyumbani yenye gharama hadi ya sh 700000 humo,radio nzuri yenye mdundo mzuri pia na tv flat inch 32
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau wa JF naomba msaada kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata nyumba nzuri ya kupanga Mbeya, iwe selfcontained,isiwe kubwa sana ya wastani.msaada tafadhari.
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habarini wanaJF kwa yeyote anayehitaji nyumba kuna nyumba ipo maeneo ya kimara korogwe dk 5 toka kituo cha mwendokasi aliyepo anatoka mwezi wa 1 tar 10 haina udalali ni chumba,sebule,jiko choo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Imetokea tu ghafla Laptop yangu imeacha kufanya kazi nimegundua Feni hai zunguki tena, nahitaji anayeuza feni naomba ani text 0767 35 35 13. Shukrani
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Now everyone can be a Wholesaler/agent with Low investment and least efforts and knowledge .. We bring you a premium brand, with lowest price, 'Kwality juu na bei chini' - BLU® mobile [USA]...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ninauza kiwanja kilichopimwa na Halmashauri ya mji wa korogwe Tanga. Maelezo kuhusu kiwanja ni kama ifuatavyo: Sehemu/ Mahali: Katika halmashauri ya mji wa korogwe, eneo la chifu Kimweri...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wapendwa, MLD GROUP, Tunauza mchele kutoka mbeya kwa bei ya jumla. pia tunachukuwa tender za kusupply katika taasisi mbalimbali. i.e ; mashuleni, vyuoni na sehemu yoyote inayohitaji bidhaa...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
nauza tv flat inch 21 laki tatu,sabufa laki moja na kumi viko arusha monduli
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Mahali na Ukumbi: Itatangazwa baadae kwa watakaojiandikisha Tar: 25/12/2016 Kiingilio: watajulishwa watakaojiandikisha Fighters: Fransis Cheka/ Kaseba na bondia mgeni Aina ya pambano: bare...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu salam zenu nimejipiga kidogo na kuisoma namba za kisukuma nimewekelezea million 2.5 naomba mnisaidie kagari kazuri wakuu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wadau wa JF, Kuna mtu anauza LapTop aina ya HP.Ina Hard Disc 116 gb, CPU 2.40 GHZ, Processor: Intel(R) Core(TM);Duo CPU 2.40 GHZ. Note:Usijali sana kuhusu picha ni ubovu wa kamera...
0 Reactions
4 Replies
707 Views
Simu ni. SamsungGT19082 version 4.2.2 storage 8.00GB haina tatizo lolote Lakin nyumu mfuniko hamna ulipote ila simu iko vizuri. Kwa contact nichek 0673265113 Bei laki 280 punguzo mpaka 250...
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Inahitajika ya laptop aina hii tafadhli sms au piga 0767353513 kama unayo inahitajika kwa haraka.
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Back
Top Bottom