Samsung note 2

Samsung note 2

DAVIES

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
516
Reaction score
90
Inauzwa samsung note 2 orignal ya korea inatatizo la touch tuu haina tatizo lingine ni kama uko interest inauzwa laki 2 pm me now
ccedd119e4b35aa54a6ff9dd8fd87fbe.jpg
15342a4194fc9e0a1812ca7b915986dc.jpg
a42e661edb3752d052ecf9bf2d7e1988.jpg
 
Kaka unajua kioo au touch ya note 2 ni bei gani? Huwezi uza being hiyo mkuu punguza ,,
 
Simu ikishakuwa na tatizo basi ujue ishaharibika hiyo,sawa na binadamu unapokuwa unaharibikiwa kiungo kimojawapo mwilini,tayari unakuwa mgonjwa
 
Mkuu kioo chake ni 250000 kama sikosei mpaka 150000
 
Kioo original vinauzwa pair na touch yake 180 + 60(nakupa wee) + 20 (ufundi) = 260 (still risk inawezekana kuna tatizo lingine) kwa akili ya kawaida kitown town 260 ukiongeza 40 Unapata simu nzuri.. Nikinunua hiyo yako kwa 200,000 + 180 kioo + 20 (ufundi) = 400,000. hivi note 2 mpya kiaisi gani shop?
 
Kioo original vinauzwa pair na touch yake 180 + 60(nakupa wee) + 20 (ufundi) = 260 (still risk inawezekana kuna tatizo lingine) kwa akili ya kawaida kitown town 260 ukiongeza 40 Unapata simu nzuri.. Nikinunua hiyo yako kwa 200,000 + 180 kioo + 20 (ufundi) = 400,000. hivi note 2 mpya kiaisi gani shop?

260+200=460k bei ya Note 3.
 
Back
Top Bottom