Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Wakuu,
Nataka nipate mashine inayofanya kazi ya i)Kuprint ii)Kuscan & iii)Kutoa copies,
Pia iv)kuprint passport.
Kuna ndugu kaniambia alisikia kuwa Epson LL220 iko vizuri kwa hizo functions.
Naomba mnisaidie maarifa na maboresho,
Pia kwenye suala la upatikanaji na unafuu wa gharama ya wino.
Na yauzwa bei gani Dar es Salaam?
Au kama kuna aina ingine nzuri/bora kwa vigezo hivyo inayopatikana kwa bei nafuu.
Nataka nipate mashine inayofanya kazi ya i)Kuprint ii)Kuscan & iii)Kutoa copies,
Pia iv)kuprint passport.
Kuna ndugu kaniambia alisikia kuwa Epson LL220 iko vizuri kwa hizo functions.
Naomba mnisaidie maarifa na maboresho,
Pia kwenye suala la upatikanaji na unafuu wa gharama ya wino.
Na yauzwa bei gani Dar es Salaam?
Au kama kuna aina ingine nzuri/bora kwa vigezo hivyo inayopatikana kwa bei nafuu.