Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Inahitajika ya laptop aina hii tafadhli sms au piga 0767353513 kama unayo inahitajika kwa haraka.
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Habari zenu wanajamvi Kwa wale wanaopenda kupanga mwenge karibu kabisa na bamaga na Afrikasana Chumba chenye choo ndani (master room) sebule na jiko, ipo ndani ya geti parking ya gari ipo maji...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Chumba kipo njiapanda ya uwanja wa ndege baada tu ya kuvuka reli (DSM) kodi 150,000/ kwa mwezi
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habarini....najua dukani au kwa wakala king'amuzi cha azam ni gharama naambiwa ni laki moja na 30 sasa mimi Nahitaji kwa mtu King'amuzi na Dish lake Full au mwenye King'amuzi kingine kizuri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Freezer linauzwa linapatikana Temeke, Dar es Salaam. Aina - Boss. Linafanya kazi vizuri na halina tatizo lolote. Bei 480,000/= 0684 141476
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumaini mu wazima Wakuu. Natafuta mashine ya kufyatulia matofali ya 'interlocking'. Anayefahamu yanapo patikana naomba anifahamishe. Natanguliza shukrani na nawatakia siku njema.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Una Website/Blog Yako na unahitaji iwe designed na kuwa na muonekano mzuri? Una website/blog na unahitaji application? Je unahitaji website kwa ajili ya biashara yako? KARIBU Tunatengeneza...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Wadau kwa anayehitaji vigogo vya mti wa mvule na mizizi yake kwa kutengenezea furniture ndogo ndogo au vinyago tuwasiliane. Mzigo upo mkoani kilimanjaro.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wajameni, heshima yenu! Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata Liquid silicone/rubber anifahamishe. Najua Polytek ni watengenezaji wa bidhaa hii, lakini sijui kama Tanzania wana branchi. Hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani natafuta cassete za mashine ya canon 2520
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kichwa kinavo sema nahitaji huo mzigo iwe ni flat screeen. uwe ktk hall nzuri halali haijawahi kufunguliwa bajeti ni 120,000 hadi 150,000 kama unayo 0753 44 55 31
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Nina shida na laptop... Yeyote aliyenayo anataka kuuza..tuwasiliane...nipo mwanza
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Nina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Hp envy M6 I need money Bei 750,000 Specs zipo hapo chini Sorry ina kisticker cha apple.
0 Reactions
0 Replies
497 Views
We back again.. IPhone 5c New condition GB 16 Bei 360,000 Comes with USB charger... Used IPhone 5s GB 16 Very good condition. Bei 440,000.. Only phone.. IPhone 6 GB 16 New...
0 Reactions
0 Replies
505 Views
Kama mada inavyojieleza,ninauza mlango wa kioo na aluminium wenye ukubwa wa futi 6 kwa 7. Bei ni laki nne na nusu(450,000/=),una hali nzuri kabisa,umetumika kwa mwaka mmoja tu.Mlango upo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu wapi naweza pata masweta ya shule kwa bei ya Jumla.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
NINAZO MBILI KILA MOJA INA 50W, KWA HIYO ZOTE MBILI NI 100W bei 165,000/= nililetewa toka UK unaweza weka chini maana zina stand yake au juu ya bati achana na panel za kichina njoo uchukue hizi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji lain ya tigo pesa nina laki na ishirini mjuavyo uchumi mgumu 0758844240
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Back
Top Bottom