Habari zenu wanajamvi
Kwa wale wanaopenda kupanga mwenge karibu kabisa na bamaga na Afrikasana
Chumba chenye choo ndani (master room) sebule na jiko, ipo ndani ya geti parking ya gari ipo maji...
Wakuu habarini....najua dukani au kwa wakala king'amuzi cha azam ni gharama naambiwa ni laki moja na 30 sasa mimi Nahitaji kwa mtu King'amuzi na Dish lake Full au mwenye King'amuzi kingine kizuri...
Natumaini mu wazima Wakuu. Natafuta mashine ya kufyatulia matofali ya 'interlocking'. Anayefahamu yanapo patikana naomba anifahamishe. Natanguliza shukrani na nawatakia siku njema.
Una Website/Blog Yako na unahitaji iwe designed na kuwa na muonekano mzuri?
Una website/blog na unahitaji application?
Je unahitaji website kwa ajili ya biashara yako?
KARIBU Tunatengeneza...
Wadau kwa anayehitaji vigogo vya mti wa mvule na mizizi yake kwa kutengenezea furniture ndogo ndogo au vinyago tuwasiliane.
Mzigo upo mkoani kilimanjaro.
Wajameni, heshima yenu! Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata Liquid silicone/rubber anifahamishe. Najua Polytek ni watengenezaji wa bidhaa hii, lakini sijui kama Tanzania wana branchi. Hii...
kama kichwa kinavo sema nahitaji huo mzigo iwe ni flat screeen. uwe ktk hall nzuri halali haijawahi kufunguliwa bajeti ni 120,000 hadi 150,000
kama unayo
0753 44 55 31
We back again..
IPhone 5c
New condition
GB 16
Bei 360,000
Comes with USB charger...
Used IPhone 5s
GB 16
Very good condition.
Bei 440,000..
Only phone..
IPhone 6
GB 16
New...
Kama mada inavyojieleza,ninauza mlango wa kioo na aluminium wenye ukubwa wa futi 6 kwa 7.
Bei ni laki nne na nusu(450,000/=),una hali nzuri kabisa,umetumika kwa mwaka mmoja tu.Mlango upo...
NINAZO MBILI KILA MOJA INA 50W, KWA HIYO ZOTE MBILI NI 100W bei 165,000/= nililetewa toka UK unaweza weka chini maana zina stand yake au juu ya bati achana na panel za kichina njoo uchukue hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.