Wakuu, mambo vipi?
Mimi ni Application/Software Developer. Nina System kwa ajili ya Hospitals.
Ninatafuta Mtu anayeweza kuwa Markertier wa hiyo System. Kazi yake ni Kutafuta Mteja /Wateja tu...
Hello.
Naomba kwa muuzaji wa office lockers nikipata zenye milango kuanzia 6 hadi 8 itakua nzuri zaidi.
Kama unazo na unauza plz contact me bei zake na pia nitumie picha kwa PM.
Habari za muda huu wapendwa waheshimiwa wa jamii forums,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninauza kwa kuwa nimepatwa na matatizo kidogo bei ni 150k deki na tv,
Deki nimeinunua...
habari wana jamvi,
kuna baiskeli naiuza,ipo kama zile za Azam za kuuzia ice cream, ila hii unaweza kuuzia vitu mbali mbali kama ice cream, juice,barafu,vitafunwa, vitu vya urembo n.k...
CHAD CREATION CO LTD: Inakuletea punguzo la bei kwa viwanja vilivyopimwa ambavyo utakabidhiwa na hati baada ya malipo,tuna viwanja vya makamu,biashara na viwanda pia maeneo ya kilimo na ufugaji...
Mashamba yanauzwa, yapo maeneo mawili tofaut
Shamba la kwanza, lipo Mlandizi Makazi mapya, ukubwa wa heka tano, shamba lina miundo mbinu ya maji, kila baada ya mita 50 kuna bomba la maji...
ESSENCE CONSULT LIMITED
It's a consulting company dealing with preparing, writing, editing and printing of reports, Proposals, Write -ups etc.
Feasibility studies.
Preparing Business plans...
ESSENCE CONSULT LIMITED
It's a consulting company dealing with preparing, writing, editing and printing of reports, Proposals, Write -ups etc.
Feasibility studies.
Preparing Business plans...
Rejea kichwa cha habari, inatafutwa laptop aina ya HP kwa gharama isiyozidi laki 250,000/=. Hela ipo cash.
Tafadhali tuma sms kwenda namba hii 0754828637.
Asanteni.
Ktk kutafuta ufumbuzi wa tatizo langu..nilianzia kwa councilors "ushauri nasaha"akanambia maliza kwanza mambo yako ya ndani ya nyumba tyen ndo ntaweza kuwa msaada kwako..nikaona huyu hajakata kiu...
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.