Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Zipo mbili hizi rupia. Moja picha yake inasimba mmoja na mtende. Ya pili inasimba wawili na mtende. Kwa wenye kuzihitaji wanione
0 Reactions
8 Replies
45K Views
Nipo Morogoro,nahitaji balo la shuka za mtumba,kwa anayefanya hiyo biashara hiyo tuwasiliane PM...ninahitaji haraka
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, mambo vipi? Mimi ni Application/Software Developer. Nina System kwa ajili ya Hospitals. Ninatafuta Mtu anayeweza kuwa Markertier wa hiyo System. Kazi yake ni Kutafuta Mteja /Wateja tu...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu kwa anayejua ama anaeuza laptop aina ya accer,,hp,,toshiba ama lenovo bajeti niliyo nayo laki nne,,,,,
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hello. Naomba kwa muuzaji wa office lockers nikipata zenye milango kuanzia 6 hadi 8 itakua nzuri zaidi. Kama unazo na unauza plz contact me bei zake na pia nitumie picha kwa PM.
0 Reactions
1 Replies
808 Views
Habari za muda huu wapendwa waheshimiwa wa jamii forums, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninauza kwa kuwa nimepatwa na matatizo kidogo bei ni 150k deki na tv, Deki nimeinunua...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Ipo solar module used ya 100watts Inapatikana dar manzese
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu! Laptop ya Acer aspire bado ipo sokoni, 500GB HDD, 2GB ram, 8.1 window, processor 2ghz Yeyote anaehitaji ani PM au tuwasiliane 0767871819
0 Reactions
1 Replies
658 Views
habari wana jamvi, kuna baiskeli naiuza,ipo kama zile za Azam za kuuzia ice cream, ila hii unaweza kuuzia vitu mbali mbali kama ice cream, juice,barafu,vitafunwa, vitu vya urembo n.k...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
CHAD CREATION CO LTD: Inakuletea punguzo la bei kwa viwanja vilivyopimwa ambavyo utakabidhiwa na hati baada ya malipo,tuna viwanja vya makamu,biashara na viwanda pia maeneo ya kilimo na ufugaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mashamba yanauzwa, yapo maeneo mawili tofaut Shamba la kwanza, lipo Mlandizi Makazi mapya, ukubwa wa heka tano, shamba lina miundo mbinu ya maji, kila baada ya mita 50 kuna bomba la maji...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Pata mananasi safi direct kutoka shambani. Kuanzia mananasi 500 unaletewa ulipo kwa gharama nafuu za usafiri. toa oda yako sasa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ESSENCE CONSULT LIMITED It's a consulting company dealing with preparing, writing, editing and printing of reports, Proposals, Write -ups etc. Feasibility studies. Preparing Business plans...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
ESSENCE CONSULT LIMITED It's a consulting company dealing with preparing, writing, editing and printing of reports, Proposals, Write -ups etc. Feasibility studies. Preparing Business plans...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Rejea kichwa cha habari, inatafutwa laptop aina ya HP kwa gharama isiyozidi laki 250,000/=. Hela ipo cash. Tafadhali tuma sms kwenda namba hii 0754828637. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
593 Views
Wakuu line zote zinauzwa kwa 200,000 tu. Atakayehitaji anipm
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ktk kutafuta ufumbuzi wa tatizo langu..nilianzia kwa councilors "ushauri nasaha"akanambia maliza kwanza mambo yako ya ndani ya nyumba tyen ndo ntaweza kuwa msaada kwako..nikaona huyu hajakata kiu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
4GB RAM CPU 3.4GHz Hard disk 160GB. Laki tatu na elfu hamsini. SMS/CALL 0654 011 011
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Back
Top Bottom