Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu naomba kujua bei ili tufanye biashara ya korosho kwa size tajwa hapo. Njoo pm ukiwa unahisika na uuzwaji wa hilo zao na specification hyo.
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Wakuu nimejichanga kidgo niweze kupata hela ya kula huku nakusanya mtaji kwa ajili ya kikubwa zaidi. Ni biashara ya kukaanga na kuuza chipsi barabarani. Kuna dogo nimempata kwa ajili ya...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Jumba hilo lipo Mbezi Juu si mbali toka barabara iendayo Bagamoyo. Jumba halijakamilika. Upande wa mashariki wa jengo hilo una nyumba tatu ambapo kila nyumba ina chumba cha kulala chenye choo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Chumba cha kupanga kinahitajika haraka,kiwe maeneo ya Kigamboni,gharama idizidi elf 50 pia kiwe na choo cha ndani
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wadau samahan kwa usumbufu tafadhali mwenye game ya gta V ya pc tuwasiliane nashida nayo sana sharti awe anapatikana morogoro Ahsanten
1 Reactions
6 Replies
907 Views
Ni mbegu aina ya SASSO na KUROILER,ni PM Kwa mahitaji yako ya kuku na vifaranga,jumla na rejareja.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu ninaomba mwenye taarifa za kuhusu upatikanaji wa soko la tangawiz ndani na nje ya nchi. Tumelima na zitakua tayar kuvunwa anytime kuanzia sasa lkn mpaka kufikia hapa nkiandika hii thread...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari! Naitaji shelves na vifaa vingine husika nataka kufungua min-supermarket. Kwa yeyote alie nanyo au anafahamu sehemu naweza pata
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Brandnew IPhone 5s for sale Original and Full Boxed 16GB Internal Storage Space grey......560,000 Gold colour......580,000 Call 0763342257 or whatsap +86 150-0528-4617
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarin wadau. Nauza simu aina ya samsung na LG, power bank za solar na projector..mzigo utaingia tar 24 december toka Korea. Nicheck inbox
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mtu anayechapisha kalenda kwa bei Rahisi naomba ajitokeze na aweke bei zake kulingana na design ya Kalenda na ukubwa wake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari,mbao nzuri tofauti tofauti zinahitajika mwenye nazo ani inbox!, Tafadhali!
0 Reactions
0 Replies
710 Views
*X-Mas Offer* 16GB OTG Flash Disk Jipatie OTG flash disk zenye uwezo wa kusoma kwenye computer na kwenye android smartphone yako 16GB - 15,000 tu Delivery kwa Dar es Salaam ni 3000 Delivery...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
*X-Mas Offer* 16GB OTG Flash Disk Jipatie OTG flash disk zenye uwezo wa kusoma kwenye computer na kwenye android smartphone yako. Ni za kisasa na zinaweza kutumika kuhifadhia picha, video,audio...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
*X-Mas Offer* 16GB OTG Flash Disk Jipatie OTG flash disk zenye uwezo wa kusoma kwenye computer na kwenye android smartphone yako. Ni za kisasa na zinaweza kutumika kuhifadhia picha, video,audio...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Tunaanza na fursa ya kwanza Tuna products zinazotumika kwanzia kichwani mpaka mguuni. Bidhaa zimegawanyika katika makundi manne 1. Skin Care- bidhaa za ngozi ya uso... hapa bidhaa zinatolewa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nissan extra inauzwa bei 17 maongezi yapo
0 Reactions
25 Replies
4K Views
GARI IMEUZWA.....
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa anayejua utaratibu wa kupakia mizigo ya nyumbani kwenye maloli yanayoenda Kyela,Mbeya je kwanza huwa yanaegeshwa wapi hapa jijini Dar na gharama zake zikoje?na uaminifu kwenye kufikisha mizigo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom