Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibu Autoguru workshop ujupatie kitanda cha double decker kwa bei nafuu ya sh 480000 tu. Tunapatikana Kinondoni Manyanya mkabala na msikiti wa BAKWATA mtaa wa Brazil. Tuwasiliane kwa namba...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
wajumbe humu ndani kama kuna taasisi,kampuni inayo muhitaji mtaalamu wa mambo hayo anapatikana kwa simu namba zifutazo 0762166923/0659814701.
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Kampuni ya Autoguru garage & workshop ni wataalamu wa kazi za Aluminium kama: Madirisha ya Aluminum Milango ya Aluminum Office partitioning kazi za PVC Stairs Rails Kwa mahitaji ya kazi hizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Autoguru workshop wataalamu wa bidhaa za chuma, kwa mahitaji ya mageti na magrill ya madirisha na milango tuwasiliane.Tunapatikana Kinondoni Manyanya opposite na Muslim school BAKWATA mtaa wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Autoguru workshop Tunatengeneza na kuuza fenicha kwa Jumla na rejareja. Kwa fenicha kama: Vitanda vya wakubwa na watoto Double decker kwa shule/Hostel na majumbani Dining Tables Dressing Tables...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Share your Talent
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Eneo lipo Kilwa-Kiranjeranje, lina ukubwa wa heka 111, eneo limepimwa na eneo lote Lina madini ya Gypsum. upo interesting? Karibu! Bei ni Bilioni 1. 0769535559
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya tshirt za kuprintiwa kwaajili ya familia yko, couples(wapenzi),tshirt zenye swaga za vijana,tshirt wanazoweza vaa watu wa rika lolote,tshirt zenye ujumbe wa maneno ya Mungu,tshirt...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Husika kichwa hapo juu kiwanja kipo vikonje karibu na ikulu ya chamwino kina ukubwa ekari 40 unahitaji pm Hati zipo
0 Reactions
24 Replies
2K Views
NAHITAJI TAA YA FOG UPANDE WA KUSHOTO. KAMA UNAYO PM TUONGEE BEI. GARI YA 2000 TAA SIO DUARA NI ZILE PEMBE 4. ASANTE
0 Reactions
3 Replies
797 Views
Kwa wale wanao uza au anaye jua jezi za mpira wa miguu zinapatikana wapi naomba kujua gharama zake , pamoja jinsi ya kuzipata kwa mtu aliyeko musoma. Nahitaji seti isiwe na nembo yoyote...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naitwa alex nna eneo maeneo ya tabata chang'ombe natafuta mwekezaji wa garage ya kisasa, washing pamoja na parking. Kwa mikakati na mipango zaidi tuwasiliane kupitia namba 0719168005 tufanye maajabu.
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Naitwa Alex nina eneo maeneo ya Tabata Chang'ombe, natafuta mwekezaji wa Garage ya kisasa, washing pamoja na parking. Kwa mikakati na mipango zaidi tuwasiliane kupitia namba 0719168005 tufanye...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Haloo habari zenu wanakilimo.. Naomba kuuliza kamabkuna mkulima humu wa maharage ya njano nauliza gharama yanauzwaje ? Au aina nyingine kwa kilo.
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Habari JF Natafuta chumba cha kupanga ambacho ni self contained. Bajeti yangu 50,000 na chini ya hapo. Chumba kiwe maeneo ya ligula, coco beach au raha leo. Mawasiliano yangu ni 0652112026. Hali...
0 Reactions
0 Replies
761 Views
KIPO ZANZIBAR, MICHUNGWA MIWILI--NI JIRANI NA HOTELI YA KITALII YA ZANZIBAR SEA CLIFF, NI KAMA KM 20-25 KUTOKA ZANZIBAR TOWN, 20X20 METER. NI PM KWA MAELEWANO ZAIDI....KARIBU NA UFUKWE, DAKIKA 5...
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Unapendelea gari gani kwenye harusi yako au kama ulishaoa ulitumia gari gani kwenye harusi yako na kwa nini?
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Whatsapp, text or Call 0654776976. unaletewa popote ulipo kwa mkazi wa D'salaam, kwa wale wa Mikoani na nchi za jirani kama kawaida tunatuma kwa kupitia ofisi za usafirishaji mizigo na vifurushi...
1 Reactions
21 Replies
47K Views
True Ink Associates would like to Announce that the Sixth (6) CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled to commence on Monday 14/03/2016, Dar Es Salaam City Center...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
habari wakuu naomba anayejua naweza kupata mahindi na bei zake nahitaji kuanzia tani 10
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom