Nina tecno w4 Imetumika miezi miwili tuu rangi yake ni nyeupe.. Mimi nina shida na tecno boom J 8.
Specifications Za tecno w4
Ram 1GB
Camera 8 MP
Internal memory 16 GB
Android version 6...
Jipatie seti yako nzima ya novage sasa!
Novage means NEW AGE
NOVAGE itakusaidia wewe mtumiaji
-kuondoa mikunjo yote usoni
- madoa ya chunusi
- kuipa ngozi yako rangi ya asili
-kufanya ngoz yako...
Plot size sqm 1000.
Nyumba ipo bunju A dare salaam/ bagamoyo road
Kilometer 1 toka main road
Ina vyumba vitatu
Pia ina banda la uwani lenye
Vyumba viwili
Nyumba ipo ndani ya fensi
All basic...
Habari wadau. Nauza vitu vifuatavyo kwan ninahamia mkoan. Vitu hivi vipo kmara Dsm.
SUMSUNG FLAT TV LCD 43 TSH 750 ,000 PAMOJA NA STAND YAKE.
Meza ya kioo bado nzuri tsh 100,000/-
Home thetre...
Wafanyabiashara wote wenye lengo la kuongeza thamani kwenye bidhaa / huduma zao duniani, wanajaribu kila siku kwenda sawa na mabadiliko ya teknolojia. Wewe ukiwa mmojawapo unasubiri nini...
NOVAGE means NEW AGE
Jipatie seti yako nzima ya novage ili urudishe ngoz yako katika muonekano mzur na wenye kuvutia!
Novage itakusaidia wewe mtumiaji -kuondoa mikunjo au makynyanzi ya uzee usoni...
Wakuu habarini
Nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo july ninaomba kama kuna kazi yoyote around dodoma kama anaeza kufanya hata kama ni ya kufundisha (kwa masomo ya chemistry na biology)au hata...
Used containers in a very good condition and proper documentation for sale at Dar es Salaam. 40ft dry container price $2100/- 40ft reefer container price $8400/-
Only serious buyers contact me...
TUNAJUA UNAHITAJI ULINZI WA NYUMBA YAKO NA FAMILIA YAKO(CCTV CAMERAS) ILA HELA ISIKUFANYE UKOSE CCTV CAMERAS KWA KUOGOPA GHARAMA..SECURITY POINT INA JALI ZAIDI USALAMA WAKO.TUTAKUSHAURI NA...
Habari wana janvi.
kwa jina naitwa RICCO BAKARI ni marketing officer wa Global education link inayojihusisha na kuwasaidia wanafunzi kutimiza ndoto zao za kusoma Abroad kwa kuwataftia vyuo katika...
Tunatoa hudum za kufanya installation za software kwenye conputer.
tunainstall windows na tunazo windows zote na zote zipo active.
tunainstall pia program zingine kama vile antvirus, n.k
contact...
Habari zenu wana JamiiForums,
Natafuta fremu ya biashara maeneo ya Survey - Dar es Salaam. Pia natafuta sehemu ya kufungua mgahawa.
Kwa mwenye taarifa yoyote anijuze tafadhali.
Asanteni sana.
Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini!
Kama una element za utapeli...
Habarini,
Nyumba inapangishwa maeneo ya Tegeta Nyaishozi na ina tiles, vyumba vitatu na Master bedroom. Umeme na maji vipo na vyote ni vya uhakika na imezungushiwa ukuta na ina geti. Eneo la...
Nakusudia kufungua stationery huku kijijini kabla ya kununua vifaa naomba ushauri kwa ujuzi, mafundi wauzaji au yeyote.
Mashine ya copy nawaza IR inayo print scan na copy pande mbili kugeuza...
VIFAA VYA SALON YA KIUME VINAUZWA
1. Viti viwili vya kunyolea Tshs. 700,000/-
2. Bench la kisasa Tshs.350,000/-
3.Kioo Kikubwa cha alminium 100,000/-
JUMLA 1.15 Million Tshs (Tshs 1,150,000/-)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.