Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Heshima kwenu wote. Jamaa yangu anahitaji simu tajwa hapo juu,anapendelea ziwe used lakini ziwe kwenye hali nzuri. Mwenye nayo/nazo awasiliane naye kwa namba 0718255028 Anahitaji Samsung note1 na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Carfromjapan wanaendesha bahati nasibu ya jishindie gari kwa muda wa miezi 12. Droo ya kwanza ni mwezi wa pili tarehe 20 gari mbili kutolewa kila mwezi na gari 4 kila baada ya miezi 3 Huitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naitaji chakula cha kuku kwa bei ya kawaida nimepatwa na uhaba wa chakula cha kuku wangu mana uku nilipo chakula cha kuku bei ya juu sana...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimeletwa viatu kutoka USA ila ni vikubwa kwangu so kwa yoyote ambae atapenda kuvinunua anipm
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Wapendwa Mimi iliweka madirisha ya nyumba yangu hizi gundi sijui ndio zinaitwaje...miaka miwili iliyo pita. Hadi ninapo andika hapa ina achia yenyewe hasa kwa kupigwa na jua/JOTO. Naomba ushauri...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Je wewe ni mpenda shopping? je wewe una bidhaa unataka kuuza? Kuna application nzuri sana ya android kwa ajili yako inayoenda kwa jina la shop255 Shop255 - Android Apps on Google Play Download...
0 Reactions
0 Replies
518 Views
Mwenye gari aina ya toyota kluger au Toyota harrier namba yoyote ilimradi gari iwe katika hali nzuri,bajeti yangu ni 9m,nipo nzega,ila hata km iko dar naweza kufika tu na kuicheki.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu,nauza amplifire na equilizer ya gari,ni original kabisa, sababu ya kuuza nimeuza gari yang nikatoa mziki sababu mnunuzi alishindwa kufika bei ikabid nipunguze baadhi ya vitu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Fungus sehem za siri, U.T.I sugu, kuwashwa sehem za siri,kutoa harufu mbaya nk Hii ni Femicare, haina madhara na imesinitishwa na TFDA Inapatikana kwa Tsh 35000/= tu Nicheki 0714547830
0 Reactions
0 Replies
725 Views
Sold
2 Reactions
10 Replies
3K Views
NOVAGE ndio suluhisho lako! Jipatie seti yako nzima ya novage upate suluhisho LA ngozi yako! Novage itakusaidia kuondoa chunusi na madoa usoni, kuondoa makunyazi usoni( Winkle ) kuondoa matobo...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
NOVAGE ndio suluhisho lako! Jipatie seti yako nzima ya NOVAGE uepukane na matatizo ya ngozi yako! Itakusaidia kuondoa makynyanzi usoni, kuondoa chunusi na madoa, mikunjo ya aina yoyote usoni na...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Je? Wewe n blogger na umetafuta adsense account kwa mda mrefu, sasa jipatie Active ADSENSE account inauzwa pamoja na blog yake. Kwa bei pouwa. Kwa mawasiliano zaid 0714447552. Blog hii hapa...
0 Reactions
1 Replies
685 Views
Msaada wakuu, Ninashida na Daily hasa notebook zinazotengenezwa na Hawa jamaa MOLESKINE ya Ngozi au hata ya kawaida.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja ukubwa 30*20 kibaha picha ya ndege kwa Mtopa 1km kutoka Morogoro road bei 4,000,000 mawasiliano 0623958755
0 Reactions
0 Replies
456 Views
Ipo kigamboni kisiwani Metre 100 kutoka barabara ya lami. Inavyumba vitatu vya kulala, na masterbedroom Jiko,sitting room,na dinning. Km 4 kutoka ferry na km 2 kutoka darajani Ukubwa wa eneo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nyumba inauzwa ipo tegeta kwa ndevu barabarani kiwanja kinaukubwa wa futi 61 kwa futi 35 Nyumba inafaa kwa matumizi ya biaahara Being mil 350 ipo karibu na GdB house and social centre...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom