Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu member wa Jf. Kwa mda huu niko Mbeya Nahitaji lain za M-pesa , Tigo- Pesa na Airtel Money, Kwa mtuyoyote aliyo nayo na anaweza na Anauza asisite kuwasiliana na mimi kwa kunipim...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni matumaini yangu kua unatatizo ndio maana umefika hapa, Kabla sijaendelea na dhumuni nililokusudia kueleza au kutatua tatizo ningependa kuweka wazi jambo lifuatalo, Kuna aina mbali mbali za watu...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Nataka mikaratusi iliyonyooka yenye Diameter 17-30 cm Nataka nyingi kadri unavoweza Miti kuanzia 400 nakuendelea 0682426975 0744769774
0 Reactions
1 Replies
953 Views
Nipo dar kuna tatizo la haraka wapo jike na dume 0656084311
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Kiwanja kinauzwa Mapinga Bagamoyo.Kilomita moja na nusu toka Bagamoyo road.Kiko kàribu na kanisa na kanisa Katoliki Udinivu.Ukubwa ni 20 kwa 20.Umeme na maji viko kiwanjani.Mawasiliano 0652409259.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jf,kw uhitaji wa huduma zifuatazo karibu kwetu; 1) kuchimbiwa kisima ( water well drilling ) 2) kufanya Ground water survey 3) kutengeneza submeserble pump zilizo haribika 4) kufunga (...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Lina mwaka ila halijawahi kutumika.....ni combination ya accoustic na electric..... BEI 85,000/= tu
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, Naomba kujua soko la dagaa wa Bukoba. Kwa yeyote anayefanya biashara hii tafadhali tupeane uzoefu. Natanguliza Shukrani
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Iwe imenyooka sana.... Isidaiwe vibali,body isiwe imepigwa rangi.....naaminsha gari iwe nzimaa Model iwe ya nwaka 2003 na cc zake ziwe ni 1300 Bei ya kununulia ni 9.5mln Kama unayo tuwasiliane...
0 Reactions
8 Replies
725 Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
4 Replies
834 Views
Wandugu nahitaji shamba Mkoani mza. Ikiwa njia ya misungwi safi. Nahitaji kwa ajili ya mifugo hivyo maji ni muhim likiwa karib na ziwa pia ni vizur zaidi.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Lipo kilimahewa mwanza eneo lina ukubwa wa 30 x 15.lipo pembezoni kwa barabara ya vumbi inayoingilia Big bite.
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Nataka mikaratusi iliyonyooka yenye Diameter 17-30 cm Nataka nyingi kadri unavoweza Kuanzia miti 500 na zaidi 0682426975 0744769774
0 Reactions
1 Replies
853 Views
heka saba zinauzwa Miwaleni Uchira metre 100 kutoka barabarani Moshi zinafaa kwa ujenzi wa shule zooo na recreation centre zna umeme maji na hati bei @ heka moja ni sh 20 mill 0658825141...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jiulize Umewahi kutumia 90,000/Tsh mara ngapi bila kupata faida yoyote hata sent moja?????? Jiunge na H2i kwa mtaji wa 90,000/Tsh utengeneze kipato endelevu Karibu tufanye kazi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa wale wakazi wa Tunduma Mbeya. Kuna uwanja mzuri na ulopimwa unauzwa kwa bei ya hasara. Kuna shida mbili tatu zinazofanya niuze. Mawasiliano +255788927689. Bei tutaongea[emoji122] [emoji122]...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nauza printer HP 2130. ina print, copy and scan. Bei ni 100,000/= NI MPYA HAINA ZAIDI YA MIEZI MIWILI. SABABU YA KUUZA NILINUNUA KWA AJILI YA RESEARCH NIMESHAKAMILISHA RESEARCH YANGU...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom