Techno mpya kabisa kwenye Box lake. Haijatumika. Nmepewa kama zawadi. Ila niko na Simu nyingine natumia.
Imeizidi Techno J8 Boom, kwa manjonjo, kama vile Finger print security and Android 6.0...
Habari zenu wadau!mi nimelima vitunguu Moshi maeneo ya Chekereni.naulizia soko la vitunguu kwa Zanzibar,Dar na Kenya. Km kuna mtu yupo humu Wa maeneo hayo namuomba.Tusaidiane ktk hili ,nawatakia...
Habari,
pata programs za SPSS na STATA kwa matumizi ya Data analysis, research Methodologies bei ni nafuu sana, ni maelewano.
cost will include,
SPSS Package software plus video Tutorial, Plus...
Unene unazidi kuwa tishio kwa afya ya binadamu. Unene unaharibu umbo (shape) la mwili na pia ni kichocheo cha maradhi kama vile kisukari, shinikizo la juu la damu, matatizo ya uzazi, saratani nk...
Kitanda safi cha box 5×6 kilichotengenezwa kwa mbao ngumu pamoja na godoro lake kinauzwa kwa bei ya njaa.. 250k.
Kiko mkuranga...
Sababu ya kuuza ni bei ya kukisafirisha mkoani inazidi bei ya...
ina chumba sitting room choo cha ndani pia ina frem mbili na bado ina eneo kubwa la kuweza jenga nyumba kubwa
inapatikana kisemvule dakika 20 kutoka mbagala kwa gari bei million 18 nicheki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.