Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Fundi wa aina zote za computer kama laptop,desktop,all in one na brand zote kama apple,hp,dell,asus,toshiba,accer,samsung etc tunatengeneza pande zote ikiwa software au hardware. Laptop checking...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk.Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ipo morogoro mjini eneo ni chamwino,mita 100 kutoka barabarani,ina vyumba vinne,choo na maji kasoro umeme bado hujavutwa. Eneo linabaki kidogo walau kujenga hata vyumba viwili bei n million...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Hapa karibuni nimefungua pizza and burger shop ila nimejikuta nakwama katika suala zima la packaging, hususani kwenye upande wa pizza. Maboksi niliyokuwa nayatumia awali...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nyumba hii ina vyumba 3 kimoja master, sitting room, dinning room,jiko na choo na bafu. Ipo tabora kariakoo.Nimeshindwa ku upload picha ila naweza kukutumia picha kwa whatsapp. kwa mawasiliano...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Simu yangu Samsung J5 laini 2 nauza kwa 300000 tu nipo songea
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba vitatu,master rooms 2,single room1,public toilet ,siting room na dining room.ukubwa ni 20x30miters. Nyumba ipo kange mtaa wa mkurumuzi Tanga. Bei million45 maongezi yapo.
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Watu wengi wanasumbuliwa na virus kwenye computer zao. Zipo njia nyingi za kujiepusha na virus vinavyo shambulia computer moja ya njia hizo ni kitumia mfumo endeshi wa UBUNTU. UBUNTU ni mfumo...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Nauza iPhone 6s GB64 gray iko kwenye hali nzuri sh. milioni 1 kwa mawasiliano +8613320286695 (whatsapp) niko Mwanza
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Simu ni used kwa mwezi mmoja bei 180k nicall 0625489948
1 Reactions
3 Replies
824 Views
Wadau et biashara ya mashudu dar nitapat watej kwel
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzigo umeuzwa ***thread closed***
0 Reactions
11 Replies
986 Views
Habari za kazi wadau wa jamii forum. Mimi ni mjasiliamali nahusika na uuzaji wa asali halisi kutoka tabora kwa bei ya jumla na rejareja. Bei ya jumla ni elfu tisa kuanzia lita tano, na bei ya...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Nahitaji mabanda au vyumba kwa shughuli za ujasiriamali.(eneo la kutengenezea bidhaa) . Eneo liwe kimara, ubungo na maeneo jirani na hayo au maeneo mengine usafiri usiokuwa tabu. USALAMA NA UMEME...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Hello everybody, I'm Said from Trident International Ltd and we sell used containers in many countries including Tanzania. We currently have 40HC containers and also 40RH (Reefer) containers for...
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Salaam husika na kichwa habari, Inahitajika. Budget ni sh. Mil 3 kwanza unakula 2 halafu moja utalipwa kidogo,kidogo. Gari inatakiwa iwe nzima haidaiwi kitu chochote. Iweze kuruka mkoa fasta na...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wapendwa habari za mchana,naomba kama kuna mtu unamfaham ambaye anahusika na kupack dvd au cd covers na printing naomba uni PM ,ili tufanye kazi Asanteni kwa umakini wenu
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Kama una nyumba na unataka ipendeze, basi wasiliana nami,, tunapaka rangi kisasa, tupo dar, hata mkoani tunakuja ukitaka, bei zetu ni nafuu sana,, wasiliana nami kwa namba 0769217553
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Kama wewe ni mpenzi wa pc games na huna uwezo wa kupata au kudownload games kubwa nione NI PM AU ni TXT 0683979118
1 Reactions
20 Replies
2K Views
nilikuwa na tatizo hili lilinitesa! hata kutongoza nikihofu! kwamba huyu atanitangaza na kudhalilika, baada ya kuhangaika kwa takriban miaka 12 hatimae mungu aliionyesha njia! sikutegemea kuna...
7 Reactions
15 Replies
34K Views
Back
Top Bottom