Fundi wa aina zote za computer kama laptop,desktop,all in one na brand zote kama apple,hp,dell,asus,toshiba,accer,samsung etc tunatengeneza pande zote ikiwa software au hardware.
Laptop checking...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk.Kama unahitaji funguo ya...
Nyumba ipo morogoro mjini eneo ni chamwino,mita 100 kutoka barabarani,ina vyumba vinne,choo na maji kasoro umeme bado hujavutwa. Eneo linabaki kidogo walau kujenga hata vyumba viwili bei n million...
Habari wanajamvi,
Hapa karibuni nimefungua pizza and burger shop ila nimejikuta nakwama katika suala zima la packaging, hususani kwenye upande wa pizza.
Maboksi niliyokuwa nayatumia awali...
Nyumba hii ina vyumba 3 kimoja master, sitting room, dinning room,jiko na choo na bafu. Ipo tabora kariakoo.Nimeshindwa ku upload picha ila naweza kukutumia picha kwa whatsapp. kwa mawasiliano...
Nyumba ina vyumba vitatu,master rooms 2,single room1,public toilet ,siting room na dining room.ukubwa ni 20x30miters. Nyumba ipo kange mtaa wa mkurumuzi Tanga. Bei million45 maongezi yapo.
Watu wengi wanasumbuliwa na virus kwenye computer zao. Zipo njia nyingi za kujiepusha na virus vinavyo shambulia computer moja ya njia hizo ni kitumia mfumo endeshi wa UBUNTU.
UBUNTU ni mfumo...
Habari za kazi wadau wa jamii forum.
Mimi ni mjasiliamali nahusika na uuzaji wa asali halisi kutoka tabora kwa bei ya jumla na rejareja.
Bei ya jumla ni elfu tisa kuanzia lita tano, na bei ya...
Nahitaji mabanda au vyumba kwa shughuli za ujasiriamali.(eneo la kutengenezea bidhaa) . Eneo liwe kimara, ubungo na maeneo jirani na hayo au maeneo mengine usafiri usiokuwa tabu. USALAMA NA UMEME...
Hello everybody, I'm Said from Trident International Ltd and we sell used containers in many countries including Tanzania. We currently have 40HC containers and also 40RH (Reefer) containers for...
Salaam husika na kichwa habari,
Inahitajika.
Budget ni sh. Mil 3
kwanza unakula 2 halafu moja utalipwa kidogo,kidogo.
Gari inatakiwa iwe nzima haidaiwi kitu chochote.
Iweze kuruka mkoa fasta na...
Wapendwa habari za mchana,naomba kama kuna mtu unamfaham ambaye anahusika na kupack dvd au cd covers na printing naomba uni PM ,ili tufanye kazi
Asanteni kwa umakini wenu
Kama una nyumba na unataka ipendeze, basi wasiliana nami,, tunapaka rangi kisasa, tupo dar, hata mkoani tunakuja ukitaka, bei zetu ni nafuu sana,, wasiliana nami kwa namba 0769217553
nilikuwa na tatizo hili lilinitesa! hata kutongoza nikihofu! kwamba huyu atanitangaza na kudhalilika, baada ya kuhangaika kwa takriban miaka 12 hatimae mungu aliionyesha njia! sikutegemea kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.