Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

iko kwenye hali nzuri iko dar es salaam bei 950000 picha
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari JF, Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine) Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa. Bei ni Milioni 10 Ninapatikana Binju...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Hii seti makochi na meza inauzwa Tsh 700,000/= tu Zipo Tanga karibu na magereza maweni Kwa anaehitaji anicheko kwenye no yangu Mawasiliano yangu 0717423882
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyojieleza Nina uza bidhaa tajwa apo juu nipo vinapatikana bunju Vyote 250,000/= 0652482782 Bei imeshuka wadau karibuni mzigo bado upo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Kuna laptops kutoka China nimeziona Alibaba jumla ya mzigo ninaohitaji ni US $ 336, uzito ni 4.9 Kgs. Kwa mwenye uwelewa au uzoefu anisaidie kunifahamisha makadirio ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Bei milion 7.5 0654314066
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Morogoro rd kuanzia Ubungo Maji mpaka Kimara Mwisho maeneo hayo. Vyumba Viwili na sebule, pamoja na jiko. Chumba kimoja kikiwa ni master itakuwa vizuri zaidi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, kuna mtu anazo shilingi za zamani anauza zipo sh 20, sh 5, senti 5, senti 20, senti 10, senti 50 na sh 1 Vp tunaweza kupata mtu anayehitaji?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
iPhone 5s, 16gb, from USA for sale. Goes at 450000, negotiations allowed. Color: black, silver, white.
0 Reactions
1 Replies
573 Views
Ni mpya haina shida yoyot ile nimeitu siku mbili tu ni portable unawez kuhama nayo popote pale No horsepower 1.5 ubarid wake ni mkali sana pia ni automatic kuzima na kuwasha kutokana na ulivyo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF ,,Leo nimeona Bora Niwasambazie na nyie Offer hii Baada Ya Kuiweka na Kupatana.com ,,, sifa za Kiwanj 1.Kimezungukwa na Makazi Ya watu 2.Kina Hati miLiki 3.Kipo karibu na...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Kwa mara nyingine tena, napenda kuwataarifu wapenzi wa vitabu vya riwaya kuwa sasa Kitabu ca PESA ZAKO ZINANUKA kinapatikana kwa bei ya shilingi 10,000 tu. Unaweza kupata Posta mpya, mkabala na...
1 Reactions
17 Replies
9K Views
Natafuta simu tajwa hapo juu mwenye nayo plz bei ni makubaliano nawasilisha.....!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwalimu wa sekondari wa shule iliyopo manispaa ya Iringa anaomba kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu aliye Dar, hasa manispaa ya Ilala. Ikiwa ungependa kuhamia Iringa mjini please ni Pm kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NORTH FOR MEN ndo suluhisho lako! Jipatie seti yako nzima ya NORTH FOR MEN ili uweze kuepuka tatizo LA upele baada ya kushave Seti yako nzima ina bidhaa zifuatazo Hand and body wash Bar soap...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wana JF,ninauza eneo la ukubwa wa ekari moja na nusu maeneo mwasonga-kigamboni. Kuna nyumba ndogo imejengwa ya chumba na sebule ambayo bado haijakamilika.bei ni maelewano.nichek pm
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Niwazi sasa tunaenda Dodoma,Dodoma, Binafsi sina pa kuanzia hususan makazi ,hebu wenyejitufahamisheni ,bei zikoje, na michongo mingine!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna mama yangu anaitajii kufanya biashara ya vikapu vile vinavyosukwa kwa kutumia mianzi na milala lakini shida iliyopo mahala gani vinapatikana kwa wingi na bei zake ni zipi huko...
0 Reactions
6 Replies
922 Views
Mm ni mwl wa shule ya sekondari ktk halmashauri ya tandahimba mkoani mtwara naomba kubadilishana na mwl yeyote ambaye yupo ktk mikoa ya nyanda za juu kusini kama mbeya, Songwe, na njombe kwa...
1 Reactions
2 Replies
749 Views
Mwalimu anayetaka kubadilisha kituo cha kutoka halmashaur ya wilaya ya siha au Hai kwenda halmashaur ya wilaya ya bunda tuwasiliane kwa no.0764085377.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom