repellant spray ya mbu inahitajika kwa haraka mwenye nayo tuwasiliane mara moja nipo arusha mjini
zile ambazo zinatumika porini, unajipulizia mwenyewe ili usiumwe na mbu, zinazo patikana sana nizile za kujipaka,
okey kumbe zinitwa hivyo aisee arusha sijui ila dar zipo vaa tu suruali sababu huwa wanakera sana wakati wa batazenyewe siyo za kujipaka ni za kujipuliza kama perfume ndiyo zinazohitajika
asante mkuu ngoja nikacheki hapo
poa njro ni mitaa yangu pia nitapita apo jioni thank u againKama Moona's wamefunga, maana mda umeenda kuna Phamarcy mitaa ya huku kwetu Njiyo kituo kinaitwa Fibre nane nane, ukimuuliza mtu yeyote pharmacy kubwa hapo atakuonyesha, hawa huuza 24 hours a day. I am convinced those are the two reliable pharmacy.