Nitapata wapi mosquito reppelant spray Arusha

Nitapata wapi mosquito reppelant spray Arusha

TIASSA

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
3,109
Reaction score
3,977
Repellant spray ya mbu inahitajika kwa haraka mwenye nayo tuwasiliane mara moja nipo Arusha mjini.
 
Sijajua UNAZUNGUMZIA nini kweni hizi rungu, hit, si ndio reppelant zenyewe na zinapatikana maduka kama yote
 
Sijajua UNAZUNGUMZIA nini kweni hizi rungu, hit, si ndio reppelant zenyewe na zinapatikana maduka kama yote
zile ambazo zinatumika porini, unajipulizia mwenyewe ili usiumwe na mbu, zinazo patikana sana nizile za kujipaka,
 
zile ambazo zinatumika porini, unajipulizia mwenyewe ili usiumwe na mbu, zinazo patikana sana nizile za kujipaka,

Nenda MOONA'S PHAMARCY IPO CHINI KIDOGO YA NBC CLOCK TOWER BRANCH, UKIKOSA HAPO NDO BASI TENA.
 
zenyewe siyo za kujipaka ni za kujipuliza kama perfume ndiyo zinazohitajika
okey kumbe zinitwa hivyo aisee arusha sijui ila dar zipo vaa tu suruali sababu huwa wanakera sana wakati wa bata
 
asante mkuu ngoja nikacheki hapo

Kama Moona's wamefunga, maana mda umeenda kuna Phamarcy mitaa ya huku kwetu Njiyo kituo kinaitwa Fibre nane nane, ukimuuliza mtu yeyote pharmacy kubwa hapo atakuonyesha, hawa huuza 24 hours a day. I am convinced those are the two reliable pharmacy.
 
Kama Moona's wamefunga, maana mda umeenda kuna Phamarcy mitaa ya huku kwetu Njiyo kituo kinaitwa Fibre nane nane, ukimuuliza mtu yeyote pharmacy kubwa hapo atakuonyesha, hawa huuza 24 hours a day. I am convinced those are the two reliable pharmacy.
poa njro ni mitaa yangu pia nitapita apo jioni thank u again
 
Asante miss chaga kwa ushauri wako
 
tumia ya kienyeji, tafuta maganda ya miti yenye umri wa miaka120 yachome ule moshi wake ni dawa tosha ya mbu
 
Back
Top Bottom