Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jamii. Niuzie betri ya simu aina ya Obi Racoon S401
0 Reactions
2 Replies
764 Views
internal 8gb..ram 1gb..INA 4g kwa laki na 40.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ninauza IPad Pro + Pencil + Smart Keyboard Bei 1m Mwenye kuhitaji nione private wa kike tu nipo Mwanza.
0 Reactions
3 Replies
851 Views
Habari ya jioni ndugu jamaa na marafiki, kwa yeyote anayefahamu yanapo uzwa majiko ya stove anifahamishe nipo Dar. 0714374155 au 0753199179. Au kama unalo na unaliuza tuwasiliane pia ila liwe...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Ipo ARUSHA CC 2660 MODEL;NISSAN TD 27 ISUZU FARGO T 631 CUX Bei mil 14 haidaiwi,inatumiwa kwa sasa kwa matumizi ya kusafirisha wanafunzi wa english medium school haijawahi pakwa rangi bali ina...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu natumai ni wazima wa afya njema. .. Natafuta blender ZISIZO TUMIA UMEME (mannual blender) Naomba kujua bei yake pamoja na uwezo wake wa kufanya kazi...ukilinganisha na blender za umeme...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Chumba na sitting room .Ni vyumba vizuri na vina fen kila chumba ,Ni sehemu salama zaidi.inapangishwa Ukonga Mombasa Transfoma .kwa sh laki moja kwa mwezi kila chumba elf 50,000 ,maji yapo .for...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ipo Tabata Segerea. Mita 100 kutoa kwenye rami Ipo ndani ya gate na fance kubwa. Parking ya magari zaidi ya 3. Maji na umeme. Bei yake ni laki 3 na nusu Piga simu: 0653930391
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tank aina ya polytank used linauzwa Mahali : Kimara mwisho, Dsm Ujazo: Litre 2000 Bei: 220,000 fixed Bado lipo vizuri sana,nauza sababu nataka kununua kubwa zaidi. Linafaa kwa shughuli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar?,kwa yeyote aliyeko mbeya anaeuza miche ya nyanya tuwasiliane. Ninahitaji miche 3000 kwaajili ya kupandikiza shambani. Pls tuwasiliane kwa 0621118695
0 Reactions
2 Replies
808 Views
lejea na kichwa cha habari hapo juu.nipo dar nahitaji/ nhatafuta mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza vyungu tufanye biashara , kama unajua mtu tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
karibuni ipo mufindi kilometre41 toka mafinga mjini yakufuga ipo ekari 15 miaka4@ laki4 ya kupasua ekari5@
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inahitajika.Iwe Mjimwema baada tu ya kituo cha mafuta Barabara iendayo Gezaulole. Nyumba iwe Na Huduma zote kama vile Maji Umeme nyumba iwe Na uzio bei Tsh.200,000/= Malipo yawe...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunazo apps na tovuti za bure za matangazo ya biashara kwa Tanzania maeneo yote. Kutangaza biashara yako ya bidhaa na huduma tumia tovuti hii hapa Tanzapages na app yake pakua hapa Google Play...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Dereva bora wa bajaji na private car yuko tegeta kwa mawasiliano 0674097667.
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Apartment inapangishwa Chumba Sebulee Jiko Choo maji chumv/bomba ndani Parking ya magari ipo laki na nusu Hatua 30 tu kwa mtembea kwa miguu Nyumba ipo madoto mburahat kona ya kuelekea manzese...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Habari za leo wanajamii kama kuna mkulima anazo pilipili mbuzi natafuta aje PM mm nipo Dar. Nataka ninunue pilipili mbuzi viroba vitano kama unazo nakuomba pm kiungwana kabisa
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom