Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanabodi Nauza Kiwanja changu kilichopo Dodoma Mjini eneo la Makulu kwa bei ya kutupa kabisa (Ukiwa njiani kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma) Kina ukubwa wa Hatua 15 kwa 30 na kipo tambarale Bei ni Tsh...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nipo mkoani mbeya wilaya ya mbozi, nahitaji mtu wakubadilishana nae awe mkoa wa kilimanjaro au arusha au manyara wilaya yeyote.
0 Reactions
4 Replies
890 Views
Ipo mwenge karibu kabisa na bamaga stendi master rum sebule na jiko vyote ndani maji 24hrs ndani yà geti na parking ipo bei laki230 ukishalipa hakuna bili yyte zaidi ya kujinunulia Umeme Luku ya kwako
0 Reactions
4 Replies
3K Views
NATAFUTA HP PROBOOK 450 g1 Ama 650 g1 Or g2 g 3 g4 USED AU MPYA
0 Reactions
3 Replies
962 Views
Ni kampuni inayojiusisha Na utotoleshaji Wa vifaranga Na kuunza vifaranga aina ya Chotara(Malawi,chroiler,n.k).kampuni hii imesajiliwa kiserikali...inakupa fursa we we Mjasiriamali kuwezakupata...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kampuni inayojiusisha Na utotoleshaji Wa vifaranga Na kuunza vifaranga aina ya Chotara(Malawi,chroiler,n.k).kampuni hii imesajiliwa kiserikali...inakupa fursa we we Mjasiriamali kuwezakupata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Brand: Iphone 6+ Storage: 16Gb Colour: space grey Price: 1.1M Full [emoji403] [emoji338] 0654179727
1 Reactions
0 Replies
656 Views
Ipo mwenge karibu kabisa na bamaga stendi master rum sebule na jiko vyote ndani maji 24hrs ndani yà geti na parking ipo bei laki230 ukishalipa hakuna bili yyte zaidi ya kujinunulia Umeme Luku ya kwako
0 Reactions
0 Replies
670 Views
natafta motherbody ya hp probook 450 g2 i5, hela ipo km unayo na ni nzima nichek, fasta nakuja kuchukua, yng imepiga shot
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Sitting room Dinning room Jiko&store Master bedroom 1 Single bedroom 2 Public toilet 1 Full alluminium windows Umeme&maji vipo 0656 698232
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ipo kwenye hali nzuri haina tatizo na ipo fresh kabisa sema adapta ilidondoka imeachia kidogo ila chaji inapeleka fresh bei ya offer 700000 pungufu tunaongea 0774808742 nipo Dar
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
1 Reactions
2 Replies
835 Views
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Anahitajika mtalaam wa maabara mwenye certificate yaani technician certificate in medical laboratory technology *nafasi moja* 2. Anahitajika muuza duka la dawa (pharmacy ) mwenye...
0 Reactions
2 Replies
833 Views
OFFER....OFFER... nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT
3 Reactions
101 Replies
19K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi mwisho karibu na Songas Gharama. 15M ina maelewano mazuri ya punguzo la bei Au kulipa kwa awamu. Size ni miguu 10 kwa 30 Tayari kilianzishiwa ujenzi wa nyumba ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ntayapata wapi hapa morogoro
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Back
Top Bottom