Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu zangu haya mafuta original wanauza 75,000/kama unajua mahali pengine kwa bei nzuri naomba niambie,Mazuri saana ,sasa yana karibia kuisha na muhusika simpati Kabisa hewani,ni mazuri mmmno kwangu,
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuku wa kisasa wa nyama kwa ukubwa tofauti tipo manzese tunaleta popote ulipo kwa mawasiliano njoo DM tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Gb500 location dsm
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Wakuu, Kuna mtu anahitaji gari - RAV4, AUTOMATIC Transmission, 3 or 5 doors. Rangi yoyote isipokuwa Nyeupe. Hana mpunga wa kutosha kwenda Showroom. Aliye na mpango wa kuuza la kwake anicheck PM
0 Reactions
2 Replies
592 Views
Jipatie dawa yenye kuzuia harufu mbaya mdomoni na kuzuia fizi kutoa damu wakati kuswaki Pia hukinga na kuponya meno kuoza. Nikeitumia na imenisaidia sana ndio maana naileta kwenu. Bei ni sh...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hellow!, Printer ndogo inatafutwa iwe aidha; 1. Ina print tu 2. Ina print and can produce copies 3. Iwe kubwa kiasi, na ya bei nafuu. Iwe portable, sihitaji yale makubwa 4. Iwe INA spidi nzuri ya...
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Happy skin; Ziko mbili Happy Skin for Normal skin na Happy Skin for Extra Dry Skin. Happy Skin for Normal skin (ya blue); - imetengenezwa kwa kutumia maziwa na mafuta ya sesame. - huipa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mashine ipo katika hali nzuri kabisa . ina tatizo moja la kiufundi nalo ni haitoi sauti tatizo hili limeanza hivi karibuni mafundi mtakua mnajua sababu yaweza kua nini . yaweza kua drivers or...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Naomba kufahamu kama hapa kwetu Tanzania kuna supplier wa mashine ambazo zinatoa chumvi kwenye maji. Mashine iweze kutumia solar. Maji ya kisima cha ardhini.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vyumba viwili ya kulala, sebule, jiko, tiled, choo cha ndani na nje, fenced, nafasi ya kupaki magari ndani ya fence, laki tatu na nusu kwa mwezi Contact: 0767686874 0653233987
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei Mil 9 mawasiliano 0717760515
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Ya mwaka 2005 Cc 2360 Bei 22mil mawasiliano 0717760515
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Sold
0 Reactions
0 Replies
370 Views
Make : Toyota Model : Mark X (GRX-120) Mileage : 92,719km Engine size: 2,500cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Natafuta simu Samsung galaxy s5 used Isiwe na shida yoyote Iwe na uwezo wa kutunza Betri Isiwe na mipasuko kwenye kioo Budget ni Tsh laki mbili, sina zaidi ya hapo Aliye nayo anaweza kuniPM
0 Reactions
93 Replies
11K Views
habari natafuta screen ya teno L5, nipo dar njoo PM nitajie na bei
0 Reactions
0 Replies
677 Views
kisipungue 20*20, kiwe kina hati kwa anaeuza
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Natafuta simu hiyo rangi yoyote iwe kwenye hali nzuri na vitu vyake vyote Budget 750,000 Nicheki 0683 60 60 60
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi. Naomba kufahamu kuhusu soko la ng'ombe vingunguti, nahitaji niende nikafahamu machache kuhusu biashara hii ya ng'ombe.Naomba kufahamishwa: 1)Je mnada wa ng'ombe una siku maalumu...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom