Iwe katika Hali nzuri na usije na bei inayotoka nayo Japan. Bei yake naifahamu toka Japan hadi Dar... Hiyo hela Sina. Nipo Very Serious nahitaji hiyo gari njoo na bei nzuri tafadhari
Asante kwa kuendelea kutuamini, tunaendelea kuboresha huduma zetu zaidi mara dufu, Tuna Special offer ya full package website, Domain pamoja na hosting kwa sh 200000 tuu!
Hosting tunanzia sh...
Habari wanajamvi! Kwa wapenzi wa kuwekeza miti iliyobakiza miaka 3 kuvunwa inauzwa kwa bei nzuri mno! Ekari 12 pamoja na shamba inauzwa kwa gharama ya tsh mil; 37 tuu mazungumzo kdg yapo. Shamba...
1. Kama una kaji mradi kako ama ka investment kako unawaza namna ya kuisukuma kwa bei ya kususa usiache kunistua tukae mezani tuongee. Naamini hatushindwani.
2. Kama una nyumba yako ama kibanda...
Wana JF habari?? Nahitaji uwanja maeneo ya kihonda, kiegeya, mkundi au maeneo mengine yanayoendelea kwa morogoro. Buget yangu ni milion 3. Uwanja uwe na ukubwa usiopungua mita square 750. Nahitaji...
True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start TODAY 09/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration is...
Isecure inatoa ofa ya online tracking bure kupitia kwenye simu na computer kwa muda wa miezi mitatu kwa wateja watatu wa kwanza watakaoweka alarm systems & cartracking .Baada ya muda huo mteja...
Box moja lina jumla ya rola 12, box moja lenye jumla ya rola 12 linauzwa kwa shilingi elfu kumi 10,000/=
Mahali : Dar es Salaam
Simu: 0718 166060(kwa namba hii ya tigo tuma massage whatsapp)...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Wadau kama title inavyojieleza,nimeamua kuuza flat screen yangu,
Nimekwama wadau mana naona muda unayoyoma alafu mambo hayajakaa sawa hivo kuepusha shali na landlord ni bora niuze tu hii tv
TV...
Kiwanja kinauzwa Irnga kwa being ya tsh mil 2.5,lipo eneo nzuri huduma muhimu zipo, kinapatikana mtaa Wa kitwiru karibu na viwanja vilivyopimwa vya manispaa. Mawasiliano 0763024430,,, hakina...
Habari zenu!!!
Naomba kujua bei ya laptop yenye sifa hizi kwa wajuzi wa biashara ya laptop
Aina: Hp elitebook 2540p
Muundo: Mini laptop
Processor: Core i7
RAM: 4.00GB
System type: 64-bit Operating...
Habari zenu wakuu
Natumai wazima kabisa, poleni na majukum ya kulijenga taifa
Kama kichwa ninavyojielezea nahitaji laptop iwe used ambayo haijachoka sana lakini au mpya
SPECIFICATION
1. AINA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.