Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu naomba msaada mahali ambapo wanauza vifaa vya umeme na solar systems kwa bei za jumla.iwe Dar,Moshi au Tanga. Wawe wanauza bei. nafuu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Wakuu!? Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa. Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ipo kisemvule nje kidogo ya dar ni chumba na sitting room choo ndani pia ina frem mbili moja aijaisha na pia mbele bado ina eneo la kuweza jenga nyumba kubwa. bei milioni 19 nicheki 0718097972...
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Casio scientific calculator inauzwa kwa bei ya shilingi 45000 tu. Mpya ipo kweny box. Dukani inauzwa 60000. fx-991MS, 2-line display
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inauzwa 2M ina vibali vyote+bima maongezi yapo nicheck through 0713118737 kwa maelezo zaidi nimeatach na picha
0 Reactions
14 Replies
5K Views
IPhone 5c Newly Condition GB 16___________ Bei 360,000 GB 32___________Bei 380,000 0654766056 [emoji338] No Exchange Deals
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa vitabu vya marehemu Ben Mtobwa sasa vinapatikana. Kuna aina kumi na mbili za vitabu hivyo kama ifuatavyo; 1. Tutarudi na roho zetu? 2. Salamu toka kuzimu 3. Malaika wa shetani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, nahitaji mashine moja kati ya hizo tajwa hapo juu, nani alokuwa nayo au anaemjua mtu anaeuza mashine za gari
0 Reactions
7 Replies
1K Views
This fantastic investment property not to be missed! This prime piece of land is located in a safe and secure residential area. For the visionary investor, this piece of real estate spans 1605m2...
1 Reactions
0 Replies
875 Views
yangu iman kua hamjambo wakuu, natafuta camera aina ya nikon 7100d ambayo ni used lkn ikiwa katika hali nzuri..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CC 1490 KM 82000 IKO NA DVD MUSIC SYSTEM FULL BODY KIT SPORT RIM-LOW PROFILE TAIR MOTOR VEHICLE INAISHA NOVEMBER PAMOJA NA INSUARANCE AMBAYO NI COMPRIHENSIVE... GARI INAUZWA MLN 12 KWA MAWASILIANO...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya used spare parts za scania.... Call.0759648340/0787345231
0 Reactions
1 Replies
634 Views
Habari zenu wakuu Nauza laini yangu ya uwakala wa Tigopesa bei 200000/= Laini ina viambatanisho vyote muhimu kama tin number na leseni ya biashara ivyo unaweza kuibadili kua kwenye jina lako Nauza...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni aimu mpya bei maelewan nko ukonga mombasa kwa 0626658983 welcom sana
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Inauzwa Dell Inspiron N5050 Processor 2370 core i3 2.40Ghz Ram 4Gb Hdd 200Gb Windows 10 Installed Battery 2hrs+ Used. 0684-141476 Dar es Salaam.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mwenye kujua hostel maeneo hayo tafadhali msaada wapendwa
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa ipo Dar es Salaam, Ukonga karibu na maeneo ya Moshi Bar. Bei Million 90 Mawasiliano:- 0718-708856 0754-538016
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Huna haja ya kuwa na hofu na usalama katika eneo la kazi au nyumbani kwako kutana na GS POWER INSTALLATION hawa ni wafungaji wa cctv camera na alarm system electric fence au fensi za umeme motor...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
habari wadau.. chumba ma sebule kinapangishwa karibu na mabibo hostel. karibu na shato point ( geti la mabibo hostel) wanafunzi wa udsm, ma bachelor na wengineo mnakaribishwa... kwa mnaohitaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
It's all about Health and lifestyle Am Terry, with good will I would like to introduce HELO product to you. HELO is the product that every one would like to have for him self/her self and the...
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Back
Top Bottom