Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu. Natafuta jiko lililo karibu na baa kwa ajili ya Kitimoto. Mwenyenalo au una Idea naomba uniPM Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Jamani msaada kwa anae jua nauliza kampuni inayohusika na kuprint mifuko ya naylon kwaajiri ya kufungia bidhaa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Gari aina ya Toyota Nadia number "C" kwa wale wenye kujua gari wataipenda, bei mln 6500000/= no middle man
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Offer ya kiwanja kwa siku tatu tu Mwembe mtengu kwa shillingi millioni moja na laki mbili ukubwa wa miguu 27 kwa 23 ila hati bado haijatoka ina makabidhiano ya serikali ya kijiji...mwenye...
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Ipi Njia Nyepes na Rahisi Ya Kulipia Pesa Ukiagiza Bidhaa Toka Nje ya Nchi
0 Reactions
3 Replies
817 Views
Perfumes za kiume zipo 13 na za kike 14 tofauti tofati, zenye manukato mazuri na tulivu. Hukaa kwenye nguo kwa siku nzima na ukifua bado nguo yako itanukia tu.. Nitakuuzia kwa punguzo la bei kwa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Inatoa huduma za kitalii southern and other parts of TANZANIA Huduma Kama vile 1.TENTED/CAMPING SAFARI 2.MOUNTAIN CLIMBING 3.BEACH HOLIDAY 4.FOOD TOURISM 5.CULTURAL & PLANTATION TOURISM...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
LAPTOP AINA YA HP PAVILION G6 intel CORE(TM) i3-(3110M) yenye processor ya 2.4Ghz 4GB RAM,500GB HDD(Battery needs replacement).....kwa 350k vijana ambao mnaingia chuo changamkieni fursa hii kwa...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Mwenye desktop yenye flat screen na CPU box ya wastan sio likubwa au Yale ya zamani.. 0754004189.. Nataka kwa matumiz ya ofic. Haina ulazima wa kuwa na HHD kubwa hata kama ni 120GB. Kama ni HHD...
0 Reactions
5 Replies
928 Views
Wakuu nauza dish savers, ziko mbili, kila moja ni 150,000tshs pungufu unaongea. Nimezitumia kwa muda mfupi sana hivyo bado mpya kabisa, zinadai, Nilikua nazitumia kwenye mgahawa wangu ila sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuna photocopy machines za aina ya Canon (Image runner) na Xerox zenye uwezo tofauti kulingana na uwezo wako au mahitaji yako. Bei zake Canon IR2200 (Speed 22 cpm) bei TZS 1,900,000 Canon IR2800...
1 Reactions
4 Replies
13K Views
Ninauza Suzuki Vitara , 3Door, FWD. Good condition. Imemilikiwa na mtu mmoja kabla yangu. Piga Simu 0715 601605 ipo Morogoro
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Je umesikia kuhusu adspesa, ni kwa wote wenye blog au website mwaweza pata adse zakuweka kwenye blogs zenu kupitia adspesa. Tembelea website ya adspesa upate matangazo uanze kutengeneza hela...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba 4 vya kulala (1master bedroom), Sitting & dining room, jiko la kisasa, store, choo cha public, tiled, gypsum, paving block, kisima cha maji, fensi na parking ya...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
*HABARI NJEMA* CRM FINANCIAL SERVICES, ni kampuni inayojishughulisha na miradi ya *Mifugo, Ufugaji na kilimo* iliyopo mbezi beach tangi bovu jilani na jengo la mbezi Park, tunatoa huduma...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu zangu haya mafuta original wanauza 75,000/kama unajua mahali pengine kwa bei nzuri naomba niambie,Mazuri saana ,sasa yana karibia kuisha na muhusika simpati Kabisa hewani,ni mazuri mmmno kwangu,
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuku wa kisasa wa nyama kwa ukubwa tofauti tipo manzese tunaleta popote ulipo kwa mawasiliano njoo DM tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Gb500 location dsm
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Wakuu, Kuna mtu anahitaji gari - RAV4, AUTOMATIC Transmission, 3 or 5 doors. Rangi yoyote isipokuwa Nyeupe. Hana mpunga wa kutosha kwenda Showroom. Aliye na mpango wa kuuza la kwake anicheck PM
0 Reactions
2 Replies
592 Views
Back
Top Bottom