Nataka kiwanja chenye hati Chanika mvuti au Mbagala Chamanzi

Nataka kiwanja chenye hati Chanika mvuti au Mbagala Chamanzi

Mimi ninacho Kitonga lete milioni 6 nikupe cha 30 kwa 20.
 
Ninacho Mvuti Kiwawe...Karibia na kwa Mzee Yona.
Mchanga kama Hawaii mweupeee....Pia maji yapo ya kutosha
 
Hati yenyewe kuipata local gvt ni laki 2,kununua nimenunua ml.2 ,usafir niliotumia plus muda nilioupoteza kufuatilia jibu unalo, na ardhi huwa haiuzwi bei uliyoinunulia ,ni tofauti na unavyonunua gari au pikipiki ambavyo ukinunua ukitoka nayo tu dukani inapungua bei.Be serious my best.
Laki 8 si haba ila jitahidi umpate mtu anayetaka kuongezea fedha ya kwenda kutibiwa India au mwenye shida yoyote.Jua pia kuna tofauti kati ya mtu aliyeweka tangazo la kualika wateja na yule ambaye kaingilia uzi wa watu.Siuzi kiwanja na wala sikuwaza hilo it's just nimeinvest tu akitokea mteja wa kunivua ardhi kwa bei nzuri ninampa ardhi.
 
Kipo Ilala Buyuni kwa Dadi. Mita 260 toka Lami. Sqmtr 706. Bei 15M. Huitaji Nguzo ya umeme. Unafanya kushushia tu. Makazi bora sana. Ukipaona utaenda kuvunja kibubu na kulipia leo leo. Usipange kupakosa.
 
Ha ha haaa...unajua maana ya square kweli au umeuliza tuu?!!
Ilo neno square lilifaa kua jibu kwako!!!
sijui ndio maana nikauliza, ukinielewesha utakuwa umefanya la maana sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom