Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Yeyote mwenye gari aina tajwa hapo juu nahitaj kuinunua so kama unayo au mtu wa karibu na ww anayo basi njoo tufanye biashara...bei na picha yake ubaon kwanza
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za kazi wana jf ,kwa anaehitaji kiwanja kipo morogoro kihonda, 861sqm kina offer tuwasiliane 0718252251 na 0769648110
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF .kama kuna mtu ambaye anajua Wapi nitapata mbegu za mchicha lishe ,please naombeni msaada wenu ,
0 Reactions
2 Replies
3K Views
nauza choroko na tani 30 za choroko za kijani na Nene nzuri kutoka pwani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukubwa wa kiwanja SQM 400 kina hati miliki halafu kipo pazuri sana sehemu imetulia. Umbali kutoka barabara kubwa ya kawawa road mita 150. Panafaa kwa kujenga lodge au apartments. Bei tshs 180 mil...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta fundi mwenye ujuzi na uzoefu wa kufanya services AIR CONDITION; malipo kila A.C moja itakuwa 10,000/= for both indoor and outdoor. PM your number and i will call you.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Tafadhari kwa yeyote anaejua mawasiliano (contact) ya hiyo kampuni ya clearing and forward nisaidie tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
This family home located at Bahari Beach. It is undergoing final touches; in fact it is nearing completion. All its 3 rooms have an en-suite bathroom with shower and toilet. Closed kitchen with...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Fundi makini wa Rangi za Nyumba,tafadhali wasiliana na #0786-904905 au 0786-258617.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf naomba msaada kwa wale waliopo arusha naombeni kwa wanojua mahali pa kupata nguruwe wa kisasa anisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haihitaji king'amuzi Mint condition Used few months +255715955896 Kigamboni Bei Tsh 550,000/=
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina 30,000 cash
0 Reactions
4 Replies
700 Views
Mwenye Hilux single cabin ya juu model iwe 2.8..iwe inatumia disel Inahitajika....gari iwe nzima,4 wheel iwe nzima pia,mnunuzi anayehitaji anataka kuipeleka arusha... Offer ya mnunuzi ni 8mln...
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Clearing and Forwarding company is available for sale. Company has; 1. Clean records with TRA. 2. Valid TRA trading license. 3. Registered under TAFFA 4. Valid license and registration...
0 Reactions
1 Replies
686 Views
natafuta wateja wa copper
0 Reactions
1 Replies
603 Views
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
1 Reactions
3 Replies
787 Views
HP laptop on sale.. Processor @1.80GHz intel RAM 2gb Hard disk 300 350000/= (negotiatable) (Kila kitu kipo sawa isipokua kua up arrow na Down arrow ndo zimekufa) +255759283908
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Jamani nataka kununua gari ya kutembelea mimi shughuli zangu ni ndogo2 naipenda sana starlet au duet na nipe ubora wake kama starlet ila duet nackia spea ghari na hata kuna gari aina hizo ndogo2...
1 Reactions
28 Replies
12K Views
Ina vyumba vitatu. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa 400 sqmts. Kiwanja chake kina hati miliki. Ipo katika barabara kubwa inayoonganisha barabara mbili kubwa...New Bagamoyo road na Mwai kibaki...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom