Habari
nauza Pampers nzuri sana za watoto za kufua. Zipo kama zinavoonekana kwenye picha,muonekano mzuri.Pampers moja ni Tsh 22,000/= inakuwa moja pamoja na nappy(insert) yake moja.
Ukihitaji...
Habari mkuu,ninauza sim yangu iphone 4s niliyokua naitumia,imekua ghafla na tatizo inaniandikia disabled,nadhani inahitaji marekebisho kidogo.
Bei ni Tsh 110,000/=
Piga au whatsap 0621003284...
Naweza kufanya editing ya video kisasa zaid ikiwa Matangazo/vipindi/documentary pia nashoot matangazo & vipindi kwa quality ya kisasa FULL HD & 4K nina uzoefu miaka 5 na kuna sample za kazi...
Kiwanja kinauzwa chenye ukubwa Wa urefu m41 kwa upana Wa m21 kipo Iringa manispaa mtaa Wa kitwiru karibu na viwanja vya manispaa vilivyopimwa, bei n mil 2.5,,,mawasiliano 076302440.
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu
Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
Habari
Nafanya kazi ya kutafuta wateja niambie biashara yako au bidhaa ulizonazo, bei na ubora nikuletee wateja pia Kama unaitaji bidhaa tuwasiliane
NB:Malipo ni makubaliano kwa wauzaji
Kwa ushauri wa ujenzi bora wa nyumba,ramani bora nyumba pamoja na ujenzi wa nyumba tuone #PIARA TANZANIA tutakusaidia kufikia lengo lako.
Unaweza kutuuliza chochote kile kuhusu ujenzi.
Baadhi za...
Natumia Nokia Lumia 520 windows 8.1, nataka Ku upgrade ili niweze kutumia windows 10. Kuna application inaitwa windows 10 upgrade advisor sasa nikitaka Ku upgrade to windows 10 inasema not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.