Make : Toyota
Model : Mark X (GRX-120)
Mileage : 92,719km
Engine size: 2,500cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2005
Doors : 4...
Natafuta simu
Samsung galaxy s5 used
Isiwe na shida yoyote
Iwe na uwezo wa kutunza Betri
Isiwe na mipasuko kwenye kioo
Budget ni Tsh laki mbili, sina zaidi ya hapo
Aliye nayo anaweza kuniPM
Habari wanajamvi.
Naomba kufahamu kuhusu soko la ng'ombe vingunguti, nahitaji niende nikafahamu machache kuhusu biashara hii ya ng'ombe.Naomba kufahamishwa:
1)Je mnada wa ng'ombe una siku maalumu...
Eneo lenye ukubwa wa heka 8 lilio pewa kibari na wizara hisika linauzwa na limepewa kibari na serikali na lina nyaraka zote muhimu
-Lipo kijiji cha kwankonje
-kitongoji chaperu
-wilaya ya bagamoyo...
Je, unatatizo la ngozi ya unyayo kupasuka pasuka ( magaga, sagamba nk) au ngozi ya unyayo kuwa ngumu na unahitaji iwe laini?
Suluhisho ni bidhaa kutoka Oriflame, ukiipata matokeo yake...
Wadau nimesikia na kuona ving'amuzi vya namna hii ambavyo kwa habari ninazozisikia ni kwamba ni king'amuzi cha nchi jirani kama Kongo, rwanda, burundi na kwingineko ila kuna baadhi yapa bongo...
Wakuu salaam na poleni na majukumu ya kujenga Taifa letu.
Kampuni ya Jajojo tunanunu mahindi kwa wingi, Kama wewe ni muuzaji tuwasiliane na vilevile tunauza unga wa sembe na dona safi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.