Wadau nimesikia na kuona ving'amuzi vya namna hii ambavyo kwa habari ninazozisikia ni kwamba ni king'amuzi cha nchi jirani kama Kongo, rwanda, burundi na kwingineko ila kuna baadhi yapa bongo...
Wakuu salaam na poleni na majukumu ya kujenga Taifa letu.
Kampuni ya Jajojo tunanunu mahindi kwa wingi, Kama wewe ni muuzaji tuwasiliane na vilevile tunauza unga wa sembe na dona safi sana...
Kwa wale wote wanaotafuta mwalimu gwiji na mbobezi wa kufundisha na mbinu za kifauhulu mitihani niko hapa.
Nafanya kazi za mtu binafs lakini pia nina education centre.(HIGH VISION EDUCATION...
Habari zenu wakuu
Nauza vifaa tajwa hapo juu
Hp adapter imetumika mwezi mmoja tu bei ni sh 20000/=
DVD rom yaani mlango wa computer pia upo vizuri unaweza kuutumia kuban cd mbalimbali bei ni sh...
Kipo Madale Flamingo barabara inayokwenda Kwetu Sekondari, ni eneo lililopimwa kwa makazi ya watu. Hakijakatiwa hati bado, Kina ukubwa wa hatua 25x30. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme...
Natafuta chumb chakupanga maeneo y Big brother mabibo....nyumba isiwe na wanafunzi wengi wanakelel sana hawa bajeti 50k ikiwezekana iwe na watu wachache ASANTENI
JDM PRODUCTS ni waandaaji,watengenezaji na wauzaji wa asali halisi mbichi pure from forest ni wauzaji wa wanaoendana na soko la dunia ni asali inayopatikana misitu ya asilia SINGIDA!inapatikana...
Samsung min ipo kweny hali nzuri kabisa
Imetumika mwezi 1 tu toka itoke sokoni/dukan
Specification nzuri ambazo ni 2gb,500hd inte atom infact mashine ipo bomba mbayaaa
Inatunza charger 9hrs...
Utapewa mafundisho ya namna ya kufanya na kuanza bure bila malipo!
Tuwasiliane kwa namba 0756688789,au kwa njia ya whatsapp kwa namba hii hii 0756688789.Karibu tupeane taarifa ili tujikomboe...
Hatuhitaji qualification zozote za vyeti ila awe mtundu katika kazi vyetu kwetu ni makaratasi tu utundu wako ndo mpango mzima.malipo kwa kila kazi utakayofanya.karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.