Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je unahitaji kuangalia TV kwenye simu yako basi usijali Leo nimekuletea link ambayo utaangalia chaneli hizi zifuatazo Super sport 1 Super sport 2 Super sport 3 Na chaneli nyingi kutoka nchi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji uniuzie screen ya Samsung galaxy s5 Nicheki tuongee, 0652-902994
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Gari aina ya fusso au Isuzu foward iwe tone 4
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu ...Kama tittle inavyo jieleza nauza cm mpya haitumika sababu ya kuuza ni kuwa nimenunulia mama imemushida kutumia anataka cm ndogo portable , specification ni kama hv; Internal...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari Ninauza nguo za watoto wa kiume,quality nzuri. Bei iliyo kwenye picha ni ya rejareja. Ila ukihitaji kununua kwa jumla ninauza pia. Nipo Arusha, popote natuma kwa uaminifu. Serious buyer...
0 Reactions
2 Replies
17K Views
Wadau ni kweli mgabe amefikwa na umauti?
0 Reactions
4 Replies
919 Views
Kiwanja kipo cheki point maeneo ya dampo umbali kama mita 30 kutoka barabarani kama unaelekea cheki pointi. Ukubwa mita 17x10 Contact 0674057335 Bei maelewano (Dalali haitajiki)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa wapi nitapata miche ya mistafeli tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
ACER ASPIRE E 15 Features 15.6 inches display Intel Core i5 processor Windows 10 OS 8BG DDR4 Memory NVIDIA GeForce 940MX graphics DVD Super Multi DL optical drive 256 GB Solid State...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari jf Natafuta lenovo thinkpad iwe kwenye hali nzuri au mpya Specs Hdd-500g Ram-4gb Graphic card -Nvidia Nipo sumbawanga mjini ☆Bangwe☆
0 Reactions
8 Replies
944 Views
Habari wakuu naomba msaada mahali ambapo wanauza vifaa vya umeme na solar systems kwa bei za jumla.iwe Dar,Moshi au Tanga. Wawe wanauza bei. nafuu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Wakuu!? Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa. Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ipo kisemvule nje kidogo ya dar ni chumba na sitting room choo ndani pia ina frem mbili moja aijaisha na pia mbele bado ina eneo la kuweza jenga nyumba kubwa. bei milioni 19 nicheki 0718097972...
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Casio scientific calculator inauzwa kwa bei ya shilingi 45000 tu. Mpya ipo kweny box. Dukani inauzwa 60000. fx-991MS, 2-line display
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inauzwa 2M ina vibali vyote+bima maongezi yapo nicheck through 0713118737 kwa maelezo zaidi nimeatach na picha
0 Reactions
14 Replies
5K Views
IPhone 5c Newly Condition GB 16___________ Bei 360,000 GB 32___________Bei 380,000 0654766056 [emoji338] No Exchange Deals
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa vitabu vya marehemu Ben Mtobwa sasa vinapatikana. Kuna aina kumi na mbili za vitabu hivyo kama ifuatavyo; 1. Tutarudi na roho zetu? 2. Salamu toka kuzimu 3. Malaika wa shetani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, nahitaji mashine moja kati ya hizo tajwa hapo juu, nani alokuwa nayo au anaemjua mtu anaeuza mashine za gari
0 Reactions
7 Replies
1K Views
This fantastic investment property not to be missed! This prime piece of land is located in a safe and secure residential area. For the visionary investor, this piece of real estate spans 1605m2...
1 Reactions
0 Replies
877 Views
Back
Top Bottom