Je unahitaji kuangalia TV kwenye simu yako basi usijali Leo nimekuletea link ambayo utaangalia chaneli hizi zifuatazo
Super sport 1
Super sport 2
Super sport 3
Na chaneli nyingi kutoka nchi...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Wakuu habari zenu ...Kama tittle inavyo jieleza nauza cm mpya haitumika sababu ya kuuza ni kuwa nimenunulia mama imemushida kutumia anataka cm ndogo portable , specification ni kama hv;
Internal...
Habari Ninauza nguo za watoto wa kiume,quality nzuri. Bei iliyo kwenye picha ni ya rejareja. Ila ukihitaji kununua kwa jumla ninauza pia.
Nipo Arusha, popote natuma kwa uaminifu. Serious buyer...
Kiwanja kipo cheki point maeneo ya dampo umbali kama mita 30 kutoka barabarani kama unaelekea cheki pointi.
Ukubwa mita 17x10
Contact 0674057335
Bei maelewano (Dalali haitajiki)
ACER ASPIRE E 15
Features
15.6 inches display
Intel Core i5 processor
Windows 10 OS
8BG DDR4 Memory
NVIDIA GeForce 940MX graphics
DVD Super Multi DL optical drive
256 GB Solid State...
Habari Wakuu!?
Nina haja na Calculator tajwa hapo juu, nimeenda pale DIT wanauza 35,000 na mwisho 30,000. Binafsi kwa sasa sina hiyo pesa.
Kama unayo na unaweza ukanisaidia ninaomba tuwasiliane PM.
ipo kisemvule nje kidogo ya dar ni chumba na sitting room choo ndani pia ina frem mbili moja aijaisha na pia mbele bado ina eneo la kuweza jenga nyumba kubwa. bei milioni 19 nicheki 0718097972...
Kwa wale wapenzi wa vitabu vya marehemu Ben Mtobwa sasa vinapatikana.
Kuna aina kumi na mbili za vitabu hivyo kama ifuatavyo;
1. Tutarudi na roho zetu?
2. Salamu toka kuzimu
3. Malaika wa shetani...
This fantastic investment property not to be missed!
This prime piece of land is located in a safe and secure residential area. For the visionary investor, this piece of real estate spans 1605m2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.