Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ina pangishwa Mahali:kimara stop ova _______________________ Malipo: laki 3 kwa mwezi (malipo miezi 6) 2 bed rooms kimoja master Tiles:yes Gypsum:yes Parking:yes Maji na umeme full...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau na watalam wa mafuta na gesi tukuta hapa. Issu kama za kazi, local content, mikataba ya mafuta na gesi n.k
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Pata Nyumba mbili kwa bei rahisi....zote zina hati miriki..... Uwapo tayari kuziona pls piga namba hii....0715-011022
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mwenye kujua zinakopatikana dawa hizi za meno anipe msaada kwani nataka kwa bei ya jumla Vigordoctor Super fresh Sensitive Dentix Triple action Sensodine Naomba ani pm tafadhari
1 Reactions
0 Replies
809 Views
kama kichwa kinavyojieleza ni mashine ya ku dublicate cd ina cd port nane na ipo katika hali nzuri mashine hii itawafaa wamiliki wa studio za kuzambaza movies za nje kupitia ku download bei...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwalimu wa masomo ya ujasiriamali nipo kwa ajiri yenu Kwa wale tu wanaohitaji mafanikio katika ujasiriamali nipo kwa ajiri ya kukupa ushauri ,kujibu maswali Na Na mahitaji ya VITABU vya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za majukumu wapendwa Ninapenda kuwajulisha ninauza viwanja vilivyopimwa eneo la Kibaha-Pangani Block 'U' Plots 182-213 vya ukubwa tofauti. Bei ni Tshs 5500/sqmtr Kwa mawasiliano napatikana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninauza Suzuki Vitara , 3Door, FWD. Good condition. Imemilikiwa na mtu mmoja kabla yangu. Piga Simu 0715 601605 ipo Morogoro
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza Samsung flat screen ipo ya 32inch ledtv h4100, ina mwaka mmoja, Bei 500000. Na ipo Samsung ya 55inch, ledtv j5100, series 5 ina miezi 9. Bei 1.5m nakupa na lisiti yake.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
TV Anaeuza TV used please
0 Reactions
2 Replies
609 Views
Sallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji...
0 Reactions
26 Replies
13K Views
Water heater kwa matumizi ya nyumbani au salon kwa 180,000 Tsh.ni mpya Mahali-mbezi kimara-mwisho
0 Reactions
1 Replies
3K Views
AFYA BORA Wakati mwingine tunajiletea maradhi pasipo kufuata kanuni za Afya Wengi wetu hatuna desturi ya unywaji wa maji yaliyo salama na safi, Watalaamu wanatushauri tuzingatie afya zetu kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Nauza Asali mbichi kwa Jumla na Reja Reja Asali nzuri mm siongei maneno mengi Nipo Kimara Kwa mawasiliano 0654 735273
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Gari Noah Voxy MODEL:Noah KM:144755 SPEED:180 BEI:milion 9 """"""'"""""""""'''''''' MAHALI:Dar es Salaam Kigamboni Kwa Mawasiliano Zaid piga 0712 122225
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Habari zenu wana jamvi. Nauza plot ipo kongowe ya mbagala ni km 1 kutoka barabara kuu ya kwenda kigamboni. Ukuwa ni Ft 25 kwa 30 kwa bei ya 10mil. Ambaye yupo tayar anicheki kwa number 0620685450
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Habari gani! Natafuta machine ya miwa ambayo inauzwa kwa bei poa. Iwe kwenye condition vizuri ya Umeme. Nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Kama kichwa kinavyojieleza Nahitaji Gari aina ya Coster iliyo kwenye ubora na viwango vyote vya kubeba Familia. Safari itaanzia Morogoro, Tanga, Mombasa na Nairobi. Idadi ya abiria haizidi 12...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Water heater kwa matumizi ya nyumbani au salon kwa 180,000 Tsh.ni mpya Mahali-mbezi kimara-mwisho Call-0712 668190
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Wakuu. Natafuta jiko lililo karibu na baa kwa ajili ya Kitimoto. Mwenyenalo au una Idea naomba uniPM Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Back
Top Bottom