Kiwanja chenye msingi Wa Gorofa kama inavyoonekana kinauzwa M 30 Kipo Shangarai Arusha .
Eneo lina ukubwa Wa 30 kwa 30 kama l inavyoonekana kwenye picha lipo barabarani . pm kwa mawasiliano .
Nahitaji laptop aina ya hp. Iwe na Ram 1GB na kuendelea Storage GB 80 na kuendelea, processor 2 hgz na kuendelea. Offer 200000 hadi 250000/ kama unayo nipm.
habari wana jf!
Leo ninawaletea sanaa ya kupaka rangi ukuta kwa kutumia patterns na kuuachaa ukuta wako unapendeza zaidi ya wallpapers.
Utahitaji rangi tu na stencils ambazo sisi tunazo...
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu
Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
Habari za mihangaiko wadau
Bila kupoteza muda wakubwa na wadogo zangu mimi kama kijana mwenzenu naomba msaada
Kwa yeyote anayemjua mfugaji wa kuku wa mayai anifahamishe. Kinachohitajika ni...
Gari mojawapo Kati ya hizi inahitajika haraka sana
Runx, Alex, OPA namba C na namba D ndo priority. Bei iliyopo ni 6M but itaongezeka kulingana na ubora wa mkoko husika
Wakuu habari za mida
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nahitaj piki piki (boxer) iwe kwenye hali nzuri ...bei=maelewano
Mwenye nayo WhatsApp/call 0622070789 au dondoka hapa chini
Wakuu Asylum Aleku
Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm
Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet
Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi
Nyumba ina tiles yote, bati m'south
Kuna hati ya makazi...
Habari wana JF kwa yoyote aliemaliza Diploma au Certificate ya Information Technology au inaofanana na hiyo anaeishi Dar Es Salaam na hajapata kazi naomba awasiliane moja kwa moja 0712 212 220...
Wana bodi,
Nina eneo Dar lenye ukubwa wa heka moja, lipo mwasonga kigamboni, nimehamia Dodoma kama sehemu ya mpango ya uhamishaji wa shughuli za serikali kutoka Dar kwenda Dodoma...naomba mwenye...
wakuu mambo vipi
nauza shamba langu la ukubwa wa hekari moja plus liko mkuranga mbele ya Hospitali ya wilaya ya mkuranga shamba liko karibu kabisa na barabara kuu
bei yangu ni million sita cash...
Habari wanaJF napenda kuwajulisha kuwa tunatoa huduma za Accounting services (VAT returns, Trial Balance, stocking) kwa makampuni au maduka ya watu binafsi. Kwa maelezo zaidi au maswali ni cheki...
Habari wadau!
Nauza shamba, lipo katika kijiji cha Kisande karibu na kwa Mtoro wilaya ya Nchemba zamani ilikuwa sehemu ya wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Shamba Lina ukubwa wa ekari 5. Linafaa kwa...
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha.
Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.