Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tecno W5, 13mp inauzwa imetumika mwezi 1 tu no exchange price Tshs 190,000. Pm
0 Reactions
10 Replies
9K Views
nahitaji chumba kimoja na choo ndani , single self maeneo ya njiro arusha, bei iwe ni kati ya elfu 50 mpaka laki moja, mwenye kufahamu nijulishe
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Car Price : 9,500,000million/Mazungumzo yapo Gari ipo : Dar es salam Imemetembea : 93000 Km Engine CC :1400 Transmission : Automatic Fuel : petrol Very economic fuel consumption Zumuza la...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Refrigerator 100,000/= TV 100,000/= Subwoofer 100,000/= Location Dar,...mtoni Kijichi. Updates SOLD
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Wakuu habari zenu..... Poleni sana na majukumu.... Nahitaji camera aina ya canon au nikon Condition 1. Iwe used au mpya 2. Iwe katika hali nzuri 4. Iwe complete kuanzia betri, charger, lens...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau kuna issue ya Vyura flan hivi weusi wana madoa madoa mekundu. mara nyingi chura huwa huwa hawaruki. wanahitajika sana. mimi nilishawah kuwaona home kipindi hicho tulikuwa na migomba. wana...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Mzigo wa wiki endi hii ya tarehe 11 na 12 Machi 2017 katika #SimuExpo viwanja vya Mlimani City. Karibu ujichukulie Simu yako Fasta. Vodacom Tanzania on Twitter
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Hivi karibuni kumeibuka mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii watu wengi wakijadili swala la kupanda bei ya gesi ya majumbani amapo mtungi wa kilogram 16 uliuzwa kwa 52,000 hadi 53,000 na wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wataalam wa kilimo na ufugaji.. Naomba msaada wenu waungwana kama kuna mtu mwenye ufaham wa kujua dawa ya kuteketeza magugu(majani) shambani. Shamba lina ukubwa wa hekari kumi, naona...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Eneo linauzwa Bagamoyo. Lina ukubwa wa nusu eka, bei mil 18, Karibu sana na shule ya Sekondari Premier. Ndani kuna minazi na gari inafika hadi kwenye eneo. Ni umbali wa km moja kutoka barabara ya...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Habari zenu wakubwa nahitaji kujifunza wiring ya magari aliyefundi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawapongeza kwa ubunifu, mmenifanya nijivunie product yenu. #Kilimanjaro drinking water wanapaswa kujiongeza.
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Toyota Prado short chases(CQD) Make 2000 ODO 100km Engine 3RZ Fuel petrol Cc 2680 Automatic Price 16.5mil Contact 0688300088. Karibu sana.
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website ya be forwarded (www.beforward.jp/) Kitu muhimu cha pili unatakiwa uweke namba ya BFS ID( be...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Tunaotesha chakula cha mifugo (kuku, nguruwe, mbuzi, ng'ombe) ndani ya siku 6/8. Tunatoa maelekezo namna ya kuandaa chakula hicho. Tunauza vifaa kwa ajili ya kuandaa chakula hicho. Tunauza mbegu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu nauliza wapi wanauza magari kwa bei rahisi mfano kuanzia milioni 5 na kuendelea
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Umuofia kwenu! Kiwanja chenye ukubwa wa Ekari 1.5 kinauzwa Kiwanja kipo kijiji cha Mwakalundi,umbali wa kilometre 4 toka Buswelu Wilayani.Kimetizamana na barabara kuu na kinafaa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
550k.. Now sina pic ila waweza google Ipo excellent condition used a month..
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu,nahitaji kioo cha simu aina ya sumsung note 2,mwenye nacho tufanye biashara!Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Kiwanja kipya na cha kijanja ASTORIA Bar & Grill,chafunguliwa ndani ya mji unao kuwa kwa kasi Mafinga Town ndani ya mkoa wa iringa,fika ujipatie huduma zilizo enda shule kuanzia saa 12.00 Asubuhi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom