Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja chenye msingi Wa Gorofa kama inavyoonekana kinauzwa M 30 Kipo Shangarai Arusha . Eneo lina ukubwa Wa 30 kwa 30 kama l inavyoonekana kwenye picha lipo barabarani . pm kwa mawasiliano .
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji laptop aina ya hp. Iwe na Ram 1GB na kuendelea Storage GB 80 na kuendelea, processor 2 hgz na kuendelea. Offer 200000 hadi 250000/ kama unayo nipm.
1 Reactions
1 Replies
431 Views
habari wana jf! Leo ninawaletea sanaa ya kupaka rangi ukuta kwa kutumia patterns na kuuachaa ukuta wako unapendeza zaidi ya wallpapers. Utahitaji rangi tu na stencils ambazo sisi tunazo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko wadau Bila kupoteza muda wakubwa na wadogo zangu mimi kama kijana mwenzenu naomba msaada Kwa yeyote anayemjua mfugaji wa kuku wa mayai anifahamishe. Kinachohitajika ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari mojawapo Kati ya hizi inahitajika haraka sana Runx, Alex, OPA namba C na namba D ndo priority. Bei iliyopo ni 6M but itaongezeka kulingana na ubora wa mkoko husika
0 Reactions
1 Replies
757 Views
Wadau, ni matumain yangu weekend yako iko njema Natafuta hiyo gari Iwe kuanzia namba C au D WhatsApp /call 0622070789
0 Reactions
1 Replies
597 Views
Wakuu habari za mida Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nahitaj piki piki (boxer) iwe kwenye hali nzuri ...bei=maelewano Mwenye nayo WhatsApp/call 0622070789 au dondoka hapa chini
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nahitaji hiyo gari, kwa mwenye nayo Namba D WhatsApp/call 0622070789
0 Reactions
4 Replies
874 Views
Wakuu Asylum Aleku Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi Nyumba ina tiles yote, bati m'south Kuna hati ya makazi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF kwa yoyote aliemaliza Diploma au Certificate ya Information Technology au inaofanana na hiyo anaeishi Dar Es Salaam na hajapata kazi naomba awasiliane moja kwa moja 0712 212 220...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana bodi, Nina eneo Dar lenye ukubwa wa heka moja, lipo mwasonga kigamboni, nimehamia Dodoma kama sehemu ya mpango ya uhamishaji wa shughuli za serikali kutoka Dar kwenda Dodoma...naomba mwenye...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujua Ipi ni gari imara kati ya RAUM NEW MODEL na SPACIO NEW MODEL,ambayo unaweza weza kwenda nayo mkoani bila shida yoyote.Asante
0 Reactions
2 Replies
703 Views
HP laptop on sale.. Processor 1.80GHz RAM 2gb Hard disk 500 400000/= (negotiatable) +255759283908
1 Reactions
4 Replies
810 Views
Ninatafuta Kiwanja Dodoma mjini..Bajet yangu 4M....
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari,wakuu nahitaji kujua wapi wananunua chuma chakavu vya magari!, Asanteni!
0 Reactions
2 Replies
844 Views
wakuu mambo vipi nauza shamba langu la ukubwa wa hekari moja plus liko mkuranga mbele ya Hospitali ya wilaya ya mkuranga shamba liko karibu kabisa na barabara kuu bei yangu ni million sita cash...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanaJF napenda kuwajulisha kuwa tunatoa huduma za Accounting services (VAT returns, Trial Balance, stocking) kwa makampuni au maduka ya watu binafsi. Kwa maelezo zaidi au maswali ni cheki...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Habari wadau! Nauza shamba, lipo katika kijiji cha Kisande karibu na kwa Mtoro wilaya ya Nchemba zamani ilikuwa sehemu ya wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Shamba Lina ukubwa wa ekari 5. Linafaa kwa...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha. Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Back
Top Bottom