Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Aina ya friji: BOSCH Milango : Miwili, juu na chini Vipimo: Urefu 6.15f na upana 2.45f Rangi : Nyeupe Hali yake: Imetumika, inafanya kazi vizuri sana Mashaa Allaah. Juu inagandisha vizuri na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji kitanda cha futi 5 kwa 6,bajeti ni tshs100,000.Niko singida,mwenye nacho ni pm tufanye biashara.
0 Reactions
3 Replies
916 Views
Nauza dawa ninazo paket 65 hivi ni box 3 kubwa. Kila moja ni sh 16,500.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza Camera Canon C 1900 ni ndogo ya mkononi. Mega Pix: 16.0 Optical zoom: 5x Bei: 180,000 Mwenye kuhitaji ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway. Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti Kuna kiwanda cha...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
...
0 Reactions
7 Replies
951 Views
Tangazo tangazo!! Carina inauzwa Price:7mln Bima: imelipiwa comprehensive feb 2017 Road licence: imelipiwa feb 2o17. Ni number C. Na engine iko safi kabisa. Kwa anayehitaji apige number 0712615841
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : Alphard Mileage : 42,900km Engine size: 3,000cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic Drive : 4WD M/Year : 2004 Doors...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tecno W5, 13mp inauzwa imetumika mwezi 1 tu no exchange price Tshs 190,000. Pm
0 Reactions
10 Replies
9K Views
nahitaji chumba kimoja na choo ndani , single self maeneo ya njiro arusha, bei iwe ni kati ya elfu 50 mpaka laki moja, mwenye kufahamu nijulishe
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Car Price : 9,500,000million/Mazungumzo yapo Gari ipo : Dar es salam Imemetembea : 93000 Km Engine CC :1400 Transmission : Automatic Fuel : petrol Very economic fuel consumption Zumuza la...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Refrigerator 100,000/= TV 100,000/= Subwoofer 100,000/= Location Dar,...mtoni Kijichi. Updates SOLD
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Wakuu habari zenu..... Poleni sana na majukumu.... Nahitaji camera aina ya canon au nikon Condition 1. Iwe used au mpya 2. Iwe katika hali nzuri 4. Iwe complete kuanzia betri, charger, lens...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau kuna issue ya Vyura flan hivi weusi wana madoa madoa mekundu. mara nyingi chura huwa huwa hawaruki. wanahitajika sana. mimi nilishawah kuwaona home kipindi hicho tulikuwa na migomba. wana...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Mzigo wa wiki endi hii ya tarehe 11 na 12 Machi 2017 katika #SimuExpo viwanja vya Mlimani City. Karibu ujichukulie Simu yako Fasta. Vodacom Tanzania on Twitter
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Hivi karibuni kumeibuka mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii watu wengi wakijadili swala la kupanda bei ya gesi ya majumbani amapo mtungi wa kilogram 16 uliuzwa kwa 52,000 hadi 53,000 na wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wataalam wa kilimo na ufugaji.. Naomba msaada wenu waungwana kama kuna mtu mwenye ufaham wa kujua dawa ya kuteketeza magugu(majani) shambani. Shamba lina ukubwa wa hekari kumi, naona...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Eneo linauzwa Bagamoyo. Lina ukubwa wa nusu eka, bei mil 18, Karibu sana na shule ya Sekondari Premier. Ndani kuna minazi na gari inafika hadi kwenye eneo. Ni umbali wa km moja kutoka barabara ya...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Habari zenu wakubwa nahitaji kujifunza wiring ya magari aliyefundi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom