NYUMBA ina uzwa iko magomen kagela million 200 kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa Whatsapp kupitia namba +79253719267
Mkuu usikute unataka kuuza nyumba ya mtu, kama kweli ni nyumba ya wazazi wako huwezi kushindwa kujua sababu za wao kuiuza...nazan swali hilo ni pale utapo kutana nao watakupa wao sababu mm apa nawakilisha tangazo
Mkuu usikute unataka kuuza nyumba ya mtu, kama kweli ni nyumba ya wazazi wako huwezi kushindwa kujua sababu za wao kuiuza...
Jieshimu kijana heshima ni kitu cha bule
mkuu jaribu kutuma hata picha zake am serious kununua nyumbabmaeneo hayo bt lazima niione kwanza walau picha