Nimepata wazo la biashara hapa Dodoma,biashara hiyo ni kusambaza bidhaa /mahitaji muhimu kwa wateja mahali walipo,iwe ni ofisini ,nyumbani,sokoni ,vijiweni,kanisani au hata msikitini!
Mbinu tutakayotumia ni ushindani wa bei.Utaratibu huu nimaarufu sana Dsm! Malipo itakuwa ni kadri tunavyopata!
Nawakaribisha vijana wenye maono ya kupata fedha ,lakini hawana mitaji.Kumbuka kazi hii unaweza kuifanya kwa muda wa ziada ,mfano jioni baada ya kazi,unaweza kuwa fuata watu walipopumzika
Karibu Pm,tupeane anwani ya kuwasiliana!
Mbinu tutakayotumia ni ushindani wa bei.Utaratibu huu nimaarufu sana Dsm! Malipo itakuwa ni kadri tunavyopata!
Nawakaribisha vijana wenye maono ya kupata fedha ,lakini hawana mitaji.Kumbuka kazi hii unaweza kuifanya kwa muda wa ziada ,mfano jioni baada ya kazi,unaweza kuwa fuata watu walipopumzika
Karibu Pm,tupeane anwani ya kuwasiliana!