Habari wakuu.
Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway.
Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti
Kuna kiwanda cha...
Tangazo tangazo!!
Carina inauzwa
Price:7mln
Bima: imelipiwa comprehensive feb 2017
Road licence: imelipiwa feb 2o17.
Ni number C. Na engine iko safi kabisa.
Kwa anayehitaji apige number 0712615841
Make : Toyota
Model : Alphard
Mileage : 42,900km
Engine size: 3,000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : 4WD
M/Year : 2004
Doors...
Car Price : 9,500,000million/Mazungumzo yapo
Gari ipo : Dar es salam
Imemetembea : 93000 Km
Engine CC :1400
Transmission : Automatic
Fuel : petrol
Very economic fuel consumption
Zumuza la...
Wakuu habari zenu.....
Poleni sana na majukumu....
Nahitaji camera aina ya canon au nikon
Condition
1. Iwe used au mpya
2. Iwe katika hali nzuri
4. Iwe complete kuanzia betri, charger, lens...
Wadau kuna issue ya Vyura flan hivi weusi wana madoa madoa mekundu. mara nyingi chura huwa huwa hawaruki. wanahitajika sana. mimi nilishawah kuwaona home kipindi hicho tulikuwa na migomba. wana...
Mzigo wa wiki endi hii ya tarehe 11 na 12 Machi 2017 katika #SimuExpo viwanja vya Mlimani City. Karibu ujichukulie Simu yako Fasta. Vodacom Tanzania on Twitter
Hivi karibuni kumeibuka mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii watu wengi wakijadili swala la kupanda bei ya gesi ya majumbani amapo mtungi wa kilogram 16 uliuzwa kwa 52,000 hadi 53,000 na wa...
Habari zenu wataalam wa kilimo na ufugaji..
Naomba msaada wenu waungwana kama kuna mtu mwenye ufaham wa kujua dawa ya kuteketeza magugu(majani) shambani.
Shamba lina ukubwa wa hekari kumi, naona...
Eneo linauzwa Bagamoyo. Lina ukubwa wa nusu eka, bei mil 18, Karibu sana na shule ya Sekondari Premier. Ndani kuna minazi na gari inafika hadi kwenye eneo. Ni umbali wa km moja kutoka barabara ya...
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website ya be forwarded (www.beforward.jp/)
Kitu muhimu cha pili unatakiwa uweke namba ya BFS ID( be...
Tunaotesha chakula cha mifugo (kuku, nguruwe, mbuzi, ng'ombe) ndani ya siku 6/8.
Tunatoa maelekezo namna ya kuandaa chakula hicho.
Tunauza vifaa kwa ajili ya kuandaa chakula hicho.
Tunauza mbegu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.