mlagilamakawao
Senior Member
- Feb 22, 2017
- 189
- 120
Easter imenijia vibaya hii duuh , nimetenga kahela kangu ka kula , lakini nomekosa kampany kulingana na mazingira niliyopo kuwa mgeni mgeni zaidi asubuhi nimeamka naumwa daaashhh
But nimeshspata dawa kwa mchana nitakuwa poa wenyeji tukaribishane jamani.. Viwanja vizuri iringa
But nimeshspata dawa kwa mchana nitakuwa poa wenyeji tukaribishane jamani.. Viwanja vizuri iringa