NAOMBA KUJUA WAUZAJI WA I-BEAM

NAOMBA KUJUA WAUZAJI WA I-BEAM

socket

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
305
Reaction score
434
Habari wana JF.
Naamini huku nitapata msaada kwa haraka kidogo..nina ujenzi unaohitaji I-Beam na angle line zitakazotumia bolt kuunganisha na sio kuchomelea na structure ni kama mnara wa mawasiliano ya simu sasa nahitaji kujua suppler walioko Tanzania.
Ahsanteni
 
Habari wana JF.
Naamini huku nitapata msaada kwa haraka kidogo..nina ujenzi unaohitaji I-Beam na angle line zitakazotumia bolt kuunganisha na sio kuchomelea na structure ni kama mnara wa mawasiliano ya simu sasa nahitaji kujua suppler walioko Tanzania.
Ahsanteni

Nenda Kamal steel na Dosh hardware zipo ... au nipe dimensions za hizo I beam nikusaidie, inbox
 
Back
Top Bottom