Wakuu naomba nina gunia 80 za alizeti sasa naomba kujua kama naruhusiwa kwenda kuuza nchini kenya nasikia huko bei nzuri mwenye uelewa na haya mambo naomba a nisaidie.
Na kama naruhusiwa kuvusha...
Nauza simu tajwa hapo juu
Tecno C8 Tsh 180000(Laki moja na Themanini)
Ipo katika hali nzuri tyu.
Imetumika mwezi mmoja
Kwa mawasiliano
0675636863 au 0762504906
Husika hapo juu wakuu,
Nataka kujikita ktk biashara ya Asali ili niweze kujikwamua kimaisha,
Nataka kutoa Asali Tabora na kusafirisha Dar.
Sasa naomba kufahamishwa kwa huko Dar ni wapi ntapata...
Wapendwa habarini za leo na za majukumu pia,samahani kama kuna mwenye uzoefu ni jinsi gani ya kuanzisha kampuni na ofisi ya magari ya kukodisha kama TOURS,taratibu zake za kufuata japo mpaka sasa...
Wanaja jamvi napenda kuwajulisha kuwa kuna eneo linauzwa pale maswa mjini mtaa wa majengo mapya karibu na hospitali ya wachina , eneo limepimwa na lina viwanja vinne vilivyo...
Kwa Arusha tu..
Bei Tshs 150,000 punguzo unaongea..
Ni mpya haijatumika hata mara moja, ipo kwenye kasha lake na kila kitu.
Mawasiliano / Maelewano
0766474499
Ni mpya haijatumika na wala haijatolewa kwenye kasha lake, bei ni tshs 150,000 na mazungumzo yanakaribishwa..
features / support...
A4 Injet...
3-D object..
Photo..
Newsprint..
Magazine...
Pata simu LG G5 used but in good condition kwa bei rahis.
0766728326. Location Mbeya.
Internal storage 32 GB
RAM 4 GB
Front Camera 16 MP
Price 600,000 . maongez yapo.
Au tunaweza kubadilishana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.