TANGAZO
Shule ya sejondari SEKONDARI ARUSHA MODERN chini ya uongozi thabiti katika kutoa elimu bora na nidhamu kwa wanafunzi inawatangazia nafasi za masomo kwa KIDATO CHA TANO 2017.
Michepuo...
Wapendwa napenda kuwakaribisha wale wote wenye kuhitaji MEMORUNDUM,KUSAJILI KAMPUNI,KUFUNGUA KAMPUNI na COMPANY PROFILE.Njoo tukukamilishie vyote hivyo kwa haraka zaidi na kwa bei nafuu...
Salam JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi ni mbunifu wa Applications mbalimbali za simu na smart devices nyingine kwa ajili ya kuboresha na kurahisisha maisha ya watu na pia ili kwenda...
Ndug wana jf naomba kujuzwa kuhusu dawa zuri ambayo inaweza kusaidia kutuliza maumivu ya miguu .. Bimukubwa wangu anasumbuliwa na maumivu ya miguu nimejarkbu kutumja dawa za hosptali pasipo...
Haya wadau, Naachia gari aina ya Subaru Legacy Station Wagon, gari hii ina spare za kutosha Arusha, Dar, Mwanza. Na inashea spare na Baja, Impreza, Wrx na Forester kuanzia za miaka ya 90 mpaka...
Mahali ni KILWA ROAD mwandege CHATEMBO,
(Mbele ya mbagala kongowe dsm,nyuma ya kiwanda cha bakhresa)
Ukubwa ni ft 50×50
Bei ni milion mbili tu- 2,000,000/=
Wote mnakaribishwa,,
Wahi mapema...
Jamani wadau habari za kazi? Poleni na majukumu samahani naomba kuuliza ama kujuzwa kuhusu hiki chuo cha eckenford tanga university inst of health science,je kinatambuliwa na nacte? Yaani...
Habari,
Nina mbao 12(4 by 2) za mti wa mtiki ambazo nilipewa na bosi wangu ambae huwa ana export mbao hizi.
Zina urefu wa futi 8 .
Bei ubao mmoja 25000.
Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.