Ndugu wajf habari!Ninaomb msaada wenu
Nina nyumba yenye madirisha manne yenye vipimo vifuatavyo-Mawili ni cm 120 kwa 120cm,Moja ni 100cm kwa 120cm urefu na lingine ni 80 kwa 120 cm.Ninapenda...
Make : Toyota
Model : Harrier
Mileage :120,602km
Engine size: 2,990cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2003
Doors : 5
Seats ...
Waungwana.
Ambae amejenga nondo zikabaki au alizinunua akaghairi kuzitumia tutaftane.
ANGALIZO: bei yake isiwe ya dukani. Niko kibaha ila usafiri ninao mwenyewe na bei ya dukani hapa mtaani ni elf...
Habari ya Jumapili Wanabodi,
Nauza Kiwanja changu kilichopo Madale, Dar es Salaam.
Kina Ukubwa wa hatua 60 kwa 48. Kipo eneo tambarare na watu tayari wameshajenga
Bei ni Tsh Ml.12 tu
Kwa mteja...
Wadau,
Ninahitaji mkopo wa fedha ili nijenge nyumba ya kuishi katika eneo ninalolipenda na ramani ninayoihitaji. Sina fedha za kutosha kujenga nyumba hiyo. Ninaomba yeyote mwenye taarifa ya...
Tsh 12000@1sqm
Ni beach plot Viwanja viko umbali wa mita 500 toka baharini
Kutoka ferry hadi vilipo viwanja ni km 24
Viwanja vina mchoro na hati ya ofa
Ukifika ferry panda gari za mbutu kupita...
Habari wanajf.....
ShimoAgriconsult Entreprises,ni taasisi ya Kitanzania ambayo ipo kwa ajili ya kutoa huduma zifuatazo ambazo zina lengo la kukuza Uchumi wa wajasiriamali na Taifa kwa ujumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.