Sema vigezo na aina ya gari unataka, au wewe chochote kinaitwa gari kwa miln 5 sawa?Anayeuza aje inbox
Chases number mil 13 mpk 12.5 mpk 12 inategemea na gari ilivyo mfano mziki na remNa mimi naomba kujua bei ya Raum New Model,Rangi nyeupe au ya maziwa.
Nimekuibox mkuu Nauza gari ya taka
Anayeuza aje inbox
Sijaona pm yakoNimekupm mkuu ....nauza outlander black la 2009...mil 5 cash..
Weka picha pengine itanivutia kuiweka kwenye jumba la makumbusho...nauza mgongo wa chura old school.... nimeufufua juzi tu baada ya kusikia motorvehicle imefutwa na tra ipo kwenye mafuta.
hii ni bonge ya mashine.wayback
Hahah lile bei so mchezoMuuzie lile la kwako.