unaweza kuunganisha nguvu na mwenzako mkapata viwanja viwili vilivyopimwa kwa bei ya kimoja (two-in-one), bei unapanga wewe ila aneyefika dau la juu zaidi ndiye mnunuzi.
viwanja vipo eneo la...
Habari wadau, tunatafuta mnunuzi wa mahindi na maharage ya njano vyote vipo mkoa wa Songwe.
#Mahindi yapo gunia 250 na bei kwa kilo 650
# Maharage yanauzwa tsh. 2000 kwa kilo( Bei yatafikishwa...
Usisahau OFA bado inaendelea kutoka kwangu kuja kwako mteja wangu. Ni punguzo la bei kwa 30% kwa bidhaa yeyote ya Oriflame uipendayo.
OFA ITAISHA tarehe 5/6/2017...
Kumbuka Oriflame ni kampuni...
Wakuu mimi ni kijana niliehitimu chuo hivi karibuni,kutokana na issue za ajira kuwa ngumu nimeamua kujiajiri mwenyewe kwahio nahusika na upima ardhi wa aina yoyote kuanzia cadastral...
Kwa wafanya biashara ya duka karibuni vipo vibanda vya kufanyia biashara vinapangishwa, eneo la Majohe kwa Baba issa karibu na ofisi ya CCM Majohe. Vimejengwa kisasa kabisa bei Tshs 50,000/= @ mwezi.
Nyumba iko kivule....eneo tulivu.nyumba Ina room moja n'a master,sitting room,jiko,vyoo na bafu vya public
Vipo.....nyumba ina tiles,gypsum,madirisha ya aluminium,nyumba Ina fence na geti...
Colour:Silver T814 CWZ
Mileage:135,000
Year of Manufacture:2001-2002
Price:6.5 Mill
No any mechanical problems,if you're interested please contact 0622-027490..
See the pictures below..
Asalaam Alaykum
Twamshukuru allah Leo tukiwa Katika Swaum Ya 5 alhamdulillah
Tangazo Maalum kwa waislam woote
Siku Ya Jmosi Ya mwisho Wa Week Hii
Nitazindua Rasmi Muhadhara wangu Wakwanza...
Simu ni Samsung J5 new edition. GB16,ram 2gb, camera Mp13, network 3G,4G. Snapdragon.Imetumika wiki mbili tu haina tatz lolote niko dar bei ni 300k bei haipungui, karb PM kwa anayehit.
Angalizo...
Kuna rafiki yangu yuko Mpanda,anataka kuanza bishara ya mifugo (ng'ombe na mbuzi) kuuza Zambia. Alisikia inalipa sana. Anaomba anayejua utaratibu na hali ya sasa ya soko ikoje,amjuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.