Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je unataka kuwa na website basic kwa ajili ya biashara yako au kwa ajili yako mwenyewe. Jipatie website nzuri yenye ubora kwa gharama ya shilingi 99,000 tu. Domain name iliyoko katika ofa hii ni...
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Wakuu heshima kwenu nyote. Kama title ya uzi huu inavyojieleza... mashine naiweka sokoni. Ni 'DELL INSPIRON N5040', kitu genuine kabisa. Mali yangu halali. SPECIFICATIONS: EXTRA SPEC's: -...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Imeshapata mteja
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa BUSWELU Kwa wakazi wa mwanza kuna viwanja viwili vimeshikana vinauzwa maeneo ya Buswelu jijini Mwanza Vimeshapimwa na vina Full Documents
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarin.... samsung grand prime plus bado ipo katika hal nzur aina michubuko wala crek iko poa kabsa pic whatsup no 0713844841 Price 200k pungufu tutajadiliana Karibuni sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Helo Diaz! Hope Mungu amewaamsha salama, Naendelea kupokea oda za Scarfs na darasa ni jumamosi asubuhi mpk mchana... Darasa litatakuwa ni mikoba ya shanga kwa sh 10000/= tu. Kwa wale...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Ndugu mjasiriamali, jipatie elimu ya kisasa ya kulea vifaranga Bila kufa, Kwa kupitia whatsup yako. Unalipa gharama ya TSH 5,000 tu kwa M-Pesa. Watu wengi hawawezi kulea vifaranga na wa napoteza...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni mpya,haijatumika hata Siku moja. Inchi 32 Bei 380000 Risit IPO Aliye dar/bagamoyo anaweza kupata Anayetaka njoo pm
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Napokea oda za unga wa dona uliosagwa vizuri kwa mahindi mapya ya msimu huu yasiyowekwa dawa ya kuzuia wadudu waharibifu wa nafaka. Package ni kutokana na mahitaji yako, utapata kwa bei ya...
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Nauza Maelewano ya Bei yapo pia
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Salamu zenu wanajamii wote. hongereni na ujasiriamali. mimi ni mfugaji mdogo, (kuku chotara na kienyeji) nipo makao makuu ~ Dodoma mjini. ninauza mayai ya kuku chotara na kienyeji kwa bei nafuu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Nina angel eyes kwa ajili ya lexus is200/300 ama Altezza. Napatikana hapa 0715423242 katika whatsapp. Bei 120,000 mazungumzo yapo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jipatie C9 mpya kwenye box kwa 300000 tu piga 0768643685
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu naitaji camera za siri zinazofaa kuweka Garini na nyumbani bila mtu kuona Nna kazi nazo
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau habari zenu;Najua humu napata wataalamu.Kuna fursa ya kazi ya kuanda na kufundisha digital courses katika fani mbalimbali.Hii fursa inawafaa walioko katika education sector.Ni chuo kipya cha...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Mfanyabiashara wa forex na Binary anajihakikishia faida mara dufu kama unasoma na kujifunza kila siku kuhusiana na hii.. Tunatoa fursa kwa mtu yeyote awe na umri wa zaidi ya miaka 18 kuungana na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
kwa anaehitaji zipo adsense 3 wahi kabla hazichachukuliwa njoo inbox kama unahitaji kununua
0 Reactions
1 Replies
624 Views
Nauza simu Techno C9 bei sh.200,000.
0 Reactions
3 Replies
633 Views
RAM 4GB HDD 500G imenunuliwa mwezi wa pili ni bado mpya kabisa. bei 415,000/= (bei ya dukani 600,000) Napatikana DSM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom