Je unataka kuwa na website basic kwa ajili ya biashara yako au kwa ajili yako mwenyewe.
Jipatie website nzuri yenye ubora kwa gharama ya shilingi 99,000 tu.
Domain name iliyoko katika ofa hii ni...
Wakuu heshima kwenu nyote.
Kama title ya uzi huu inavyojieleza... mashine naiweka sokoni. Ni 'DELL INSPIRON N5040', kitu genuine kabisa. Mali yangu halali.
SPECIFICATIONS:
EXTRA SPEC's:
-...
Kiwanja kinauzwa BUSWELU
Kwa wakazi wa mwanza kuna viwanja viwili vimeshikana vinauzwa maeneo ya Buswelu jijini Mwanza
Vimeshapimwa na vina Full Documents
Habarin.... samsung grand prime plus bado ipo katika hal nzur aina michubuko wala crek iko poa kabsa pic whatsup no 0713844841
Price 200k pungufu tutajadiliana
Karibuni sana
Helo Diaz! Hope Mungu amewaamsha salama, Naendelea kupokea oda za Scarfs na darasa ni jumamosi asubuhi mpk mchana... Darasa litatakuwa ni mikoba ya shanga kwa sh 10000/= tu.
Kwa wale...
Ndugu mjasiriamali, jipatie elimu ya kisasa ya kulea vifaranga Bila kufa, Kwa kupitia whatsup yako. Unalipa gharama ya TSH 5,000 tu kwa M-Pesa. Watu wengi hawawezi kulea vifaranga na wa napoteza...
Napokea oda za unga wa dona uliosagwa vizuri kwa mahindi mapya ya msimu huu yasiyowekwa dawa ya kuzuia wadudu waharibifu wa nafaka. Package ni kutokana na mahitaji yako, utapata kwa bei ya...
Salamu zenu wanajamii wote. hongereni na ujasiriamali. mimi ni mfugaji mdogo, (kuku chotara na kienyeji) nipo makao makuu ~ Dodoma mjini. ninauza mayai ya kuku chotara na kienyeji kwa bei nafuu...
Wadau habari zenu;Najua humu napata wataalamu.Kuna fursa ya kazi ya kuanda na kufundisha digital courses katika fani mbalimbali.Hii fursa inawafaa walioko katika education sector.Ni chuo kipya cha...
Mfanyabiashara wa forex na Binary anajihakikishia faida mara dufu kama unasoma na kujifunza kila siku kuhusiana na hii..
Tunatoa fursa kwa mtu yeyote awe na umri wa zaidi ya miaka 18 kuungana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.