Husika hapo juu wakuu,
Nataka kujikita ktk biashara ya Asali ili niweze kujikwamua kimaisha,
Nataka kutoa Asali Tabora na kusafirisha Dar.
Sasa naomba kufahamishwa kwa huko Dar ni wapi ntapata wahitaji zaidi,
Kwa kuanzia nataka nianze na mzigo wa lita 50 hadi 100.
Naombeni ushauri wenu wadau.
Nataka kujikita ktk biashara ya Asali ili niweze kujikwamua kimaisha,
Nataka kutoa Asali Tabora na kusafirisha Dar.
Sasa naomba kufahamishwa kwa huko Dar ni wapi ntapata wahitaji zaidi,
Kwa kuanzia nataka nianze na mzigo wa lita 50 hadi 100.
Naombeni ushauri wenu wadau.