Wadau Kwema??
Nina shida moja, nahitaji ku-transfer kiasi fulani (Arround Tshs 50,000 - Tshs 200,000) nje ya nchi ili huyo atakaepokea anitumie mzigo fulani hivi online. Shida ni kwamba Supplier...
Waheshimiwa,
Nisaidieni wapi naweza kupata gauni zuri la harusi (hasa yale za kihindi) ila yawe na stara ya kulandana na imani ya Kiislam.
Kwa uwezo wangu naomba iwe kati ya elfu 50 hadi elfu...
TUMIA KADI YA GARI KUPATA MKOPO WA HARAKA NDANI YA MASAA 24.
Kwa mahitaji yako ya KIFEDHA,BIASHARA,au MAMBO YAKO BINAFSI kama KULIPA ADA YA SHULE,CHUO,KILIPIA KODI ZA MAKAZI,BIASHARA,GHARAMA ZA...
Hodi,
Natafuta chumba cha self-contained hapa Dar, mimi ni mkazi wa kudumu...ila kwakuwa ndo nimeanza kazi (nimetolewa mkoani na Kampuni), naomba ntaanza kwa kulipa kodi ya mwezi mmoja mmoja hadi...
Ni Eneo la Hekari 50 lililopo Tonga malenga (Ruaha IRINGA).Unaweza kulitumia kwa kujenga sehemu ya watalii (Camp site) kwa sababu wanyama toka mbuga ya Ruaha (Ruaha National park ) hua wanatembea...
Nikifaa ambacho kina kazi mbili. kazi ya kwanza ni kwaajiri ya ulinzi (security) kita kushtua pale endapo mtu ataingia ndani kwako pasipo ruhusa yako wakati ukiwa umelala. Kazi ya pili ni...
Wadau, Habari za leo.
Mimi ni mfugaji wa samaki, tayari nina mabwawa matatu ya samaki na nimeshaweka vifaranga vya samaki ambavyo vina miezi minne. mabwawa yangu ni makubwa na mazuri sana...
Habari zenu wakuu,
Kuna kazi ya kusafirisha Contena 19 za 20ft Kasama ZAMBIA,mzigo uliomo ni MBOLEA.
Natafuta gari 19 zenye uwezo wa kubeba contena za 20ft kupeleka na kuzirudisha.Yeyote mwenye...
Kama unataka kulimiwa tafadhali twambie
Eneo lako liko wap na ukubwa wake kiasi gani
Kisha sisi tuta jua tunakufikiaje..
Ikiwezekana njoo dm utupe number zako na maelekezo yawunataka kulimiwa...
Kwa yeyote anayehitaji kuwekez kwenye mashamba ya miti mkoa wa njombe anitafute 0764625417 yapo mashamba ambayo yamekwishapandwa tayari na miti ipo kwenye hali nzuri ya ukuaji mashamba yanauzwa...
Wazima wakuu. naitaji kuchimba kisima maeneo ya VIGWAZA MBUYUNI naomba mwenye kujua gharama za pale kwa wale wenye uzoefu na maeneo ya uko. pia naomba mwenye contact za company za uchimbaji .kuna...
Mambo vip wana jf je una biashara yako? na unapenda kuitangaza kupitia blog au web site usiogope kutana na mzizimpya akutengenezee blog ya bei rahisi kabisa ni shilingi 5000 tu
Au pitia blog...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.