Naomba kuuliza kwa wale mafundi seremala na wenye uelewa wa karibu na mafundi seremala, ni wapi wanauza viti vya kuchunga mahususi kwa ajili ya kanisani na maalumu na wachungaji?
Naomba mwenye...
Kituo chetu kimesajiriwa na kifaulisha na kuwezeshwa watu mbalimbali kufikia malengo yao. Mwaka jana wote watakajiunga na kusoma kwetu wamepata credit zao. Tupo Upanga Mashariki masomo ya asubuhi...
Baada ya kufanya vizuri matokeo ya QT na Resitters mwaka 2017, sasa tunaendelea kusajili wanafunzi wapya wa QT na Resitters, njoo ukutane na walimu wazoefu na wenye taaluma za ualimu. Tupo Upanga...
Tunatoa huduma zifuatazo.
1. Preparation of concept note for academic researches.
2. Preparation of academic research proposals.
3. Preparation of research findings and report...
Wakuu nimeamua kujikita kwenye kilimo cha mihogo na mahindi,ninampango wa kuuza mahindi mabichi shambani
Doubt yangu ni soko naomba anayejua soko la uhakika anijuze
Shamba liko njia panda segera tanga
Suluhisho Lako Lililo Karibu Yako Kwa Utatuzi Wa Kiufundi Na Ushauri , Mafundi (Technician ) Na Wasimamizi (site foreman) Tulio Nao Ni :
1. Umeme (Electrical Installations)
2. Ujenzi Majumba...
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni...
Habari wapendwa
Natafuta mtu mwenye mtaji mdogo kama mimi tuungane kufanya biashara mtaa wa kongo kariakoo pana meza inakodishwa na kwa siku inalaza faida kuanzia elfu hamsini na kuendelea, kwa...
Kuna mteja wa startimes kaja ofisini kwangu hapa,bahati mbaya au nzuri nimekosea namba ya acc no.yake ya kadi yake ya startimes,sasa nikawa nimefanya malipo kwenye akaunti tofauti.\
Bahat...
MAZIWA MTINDI 2500
FRESH 2000
UNARUHUSIWA KUPIMA KAMA YANA MAJI
TUNALETA MPAKA ULIPO KUANZIA LITA 5 NA KUENEDELEA
TUNAPATIKANA MBEZI YA KIMARA
0787 429 104
DSM TZ.
Karibuni nyote makanisa watu binafsi makampuni tunatengeneza vyombo vya umeme kama tv, subwoofer, redio za gari na kawaida, booster, ampilifaya, equalizer, crossover, spika...
mimi ni mkulima mdogo mdogo nafanyia shughuri zangu za kilimo mkoan Morogoro wilaya ya Mvomelo maeneo ya manungu tulian (karibu na kiwanda cha Mtibwa suger), nimelima mpunga heka sita (6) na...
Yes...natafuta decorder ya AzamTv used kwa bei nafuu. Hii ni kwa Dar na maeneo ya Karibu. Kama unayo nicheck kwenye 0715719171. Kiwe katika hali nzuri na bei nafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.