Habari zenu wakuu,
Kuna kazi ya kusafirisha Contena 19 za 20ft Kasama ZAMBIA,mzigo uliomo ni MBOLEA.
Natafuta gari 19 zenye uwezo wa kubeba contena za 20ft kupeleka na kuzirudisha.Yeyote mwenye connection na mwenye gari anicheki tufanye kazi.Tunalipa $3500 kwa kila gari.Advance tunalipa 70% ukishusha mzigo tunamalizia 30%.Atakaefanikisha kuleta gari anapata commission ya $25 sawa na Tsh.50,000 kwa gari.Nicheki kwa 0712874317 tupige kazi
Mzigo unapakiliwa AZAM ICD.
Kuna kazi ya kusafirisha Contena 19 za 20ft Kasama ZAMBIA,mzigo uliomo ni MBOLEA.
Natafuta gari 19 zenye uwezo wa kubeba contena za 20ft kupeleka na kuzirudisha.Yeyote mwenye connection na mwenye gari anicheki tufanye kazi.Tunalipa $3500 kwa kila gari.Advance tunalipa 70% ukishusha mzigo tunamalizia 30%.Atakaefanikisha kuleta gari anapata commission ya $25 sawa na Tsh.50,000 kwa gari.Nicheki kwa 0712874317 tupige kazi
Mzigo unapakiliwa AZAM ICD.